N "Raia Tanzania" au "Raia Mwema"? Au wote ni ndugu moja?Raia mwema wanapoteza credibility!
Dr Slaa chonde chonde usijiuzuru, chonde chonde Dr Slaa
subirini kwenye kutoa form leo!!
Dr Slaa alikuwapo kwenye mazungumzo yote ...Kama alivyosema Mbowe ule uamuzi ulikua mzito kwa Chama ....na haina maana wote walikubali ...na hao ambao hawakukubali wataendelea kuelewa taratibu...
Njia ya Ikulu ya chadema na ukawa ni nyepesi vigingi Lazima viwepo ....,,kigingi kingine ni kujenga Imani kwa watumishi wa umma , hasa waandamizi ,Mfumo wa sheria hasa Majaji ,Mfumo wa ulinzi na usalama ...hasa mkuu wa majeshi na majenerali waandamizi ,Igp na makamishna waandamizi ..makamishna wengine wa Magereza ,uhamiaji ,etc ...mkurugenzi wa usalama wa TAIFA na maafisa waandamizi ...ndio maana mnaona Hilo nalo chadema wanaliongelea ..Huu ni ukomavu kwa kuwa hotuba za Miaka ya Nyuma zilikua za kiharakati ..hasa dhidi ya Mfumo .....Huu ni ukomavu ...huwezi kupewa dola hata ukishinda bila Mfumo kukuamini Hilo hata Mwalimu alimuambia Mrema .....alimuuliza uko na Akina Nani ?
Naona chadema kwenye negotiations walioverlook power za Mtu mmoja Josephine Mushumbusi ....Huyo ni zaidi ya Salma Kikwete in the making
Soma hapa
Subiri leo saa tano kwenye kutoa form ya uraisi halafu uje tena humuNimesikia hivyo jamani toka magazetini.
Chanzo: Raia Tanzania
My take: Hii itakua pigo kubwa kwa wapenda mabadiliko. Dk we ni mtumishi wa Mungu umejifunza kusamehe 7 mara 70.
Raia Mwema - Lowassa ni mzigo, Slaa angekuwa chaguo sahihi!, walianza hapa sasa ukishangaa ustaajabu ya MussaNimesikia hivyo jamani toka magazetini.
Chanzo: Raia Tanzania
My take: Hii itakua pigo kubwa kwa wapenda mabadiliko. Dk we ni mtumishi wa Mungu umejifunza kusamehe 7 mara 70.