Baada ya kugundua kuwa vijana wale ni wa CCM, je mmedhamiria kukichukulia hatua gani za kisheria chama hicho? Msipochukua hatua yoyote tutawashangaa sana
Baada ya kugundua kuwa vijana wale ni wa CCM, je mmedhamiria kukichukulia hatua gani za kisheria chama hicho? Msipochukua hatua yoyote tutawashangaa sana
Mkuu, hii yote ni kutaka kujipima ubavu na MMMakene na picha za kutengeneza sijui unamdanganya nani.
Makene na picha za kutengeneza sijui unamdanganya nani.
Baada ya kumaliza kazi ya maana tutaangalia kama kuna upuuzi wenu wowote usiotakiwa kupuuzwa, kisha mtapewa facts. Kama ilivyo kawaida ya CHADEMA. Maana kuna upuuzi wa kupuuzwa na mwingine hauwezi kupuuzwa. Tunawashukuru kwa kufuatilia. Mtufikishie ujumbe huko waliko.
Amesisitiza nini kuhusu kauli yake ya hivi karibuni ya kuhalalisha Gongo?
Makene na picha za kutengeneza sijui unamdanganya nani.
Dr. Slaa hataki kumuomba Zitto msamaha.Ila naona hata hivyo shazi au nyomi la zitto ni moto wa kuotea mbali...
SASA SI WAKAE NAE TUH WAZUNGUMZE WAYAMALIZE??WAJENGE CHAMA??
Ila naona hata hivyo shazi au nyomi la zitto ni moto wa kuotea mbali...
SASA SI WAKAE NAE TUH WAZUNGUMZE WAYAMALIZE??WAJENGE CHAMA??
Dr. Slaa hataki kumuomba Zitto msamaha.
Mbona zile picha za Dr Slaa kupopolewa na mawe na zile za mabango ya kumpinga hamjaziweka?
Dr. Slaa hataki kumuomba Zitto msamaha.