Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
nawapongeza sana kwa kazi iliyokuwa imejaa vitisho kutoka serikali ya magamba , chini zitto..
Kweli Dr.W.Slaa kaamua kumsahau mola wake,,
So,anasema akichukua nchi atahalalisha GONGO??
Dhambi ya usaliti na uasi ni mbaya sana
Makene na picha za kutengeneza sijui unamdanganya nani.
Ukakamavu wa Dr. W.P Slaa niwakuigwa hauna mashaka kabisa awapo jukwaani hahitaji nguvu za giza.
dr.slaa alipokelewa kigoma mjini kwa heshima kubwa ya kiuongozi nina amini mapokezi yale hajawahi kupokelewa popote pale kwa heshima kubwa ya kiuongozi kama alivyopokelewa kigoma pamoja na vitisho vya waigizaji.
kigoma mjini...watu waliitika kweli kweli kusikiliza chama chao kinasema nini juu ya masuala yanayowahusu...
View attachment 128572
View attachment 128573
View attachment 128574
dr.slaa alipokelewa kigoma mjini kwa heshima kubwa ya kiuongozi nina amini mapokezi yale hajawahi kupokelewa popote pale kwa heshima kubwa ya kiuongozi kama alivyopokelewa kigoma pamoja na vitisho vya waigizaji.
View attachment 128576