Dk. Reginald Mengi: Waziri Muhongo ni muongo, takwimu zake za uongo pia!

Masikini watanzania inaonyesha jinsi gani tulivyo kuwa na uwezo mdogo wa kupambanua mambo na kuelewa uzuri au ubaya wa mtu..tumekuwa tunategemea uvumishi kuliko ukweli na uhalisia

wengine tumesoma kwa jitihada za huyu mzee muhongo ili wazawa tuweze pata elimu ya utafutaji na uchimbaji kamwe unae mpondea huyu mzee humjui kaa kimya subiri uone..sio mwana siasa na hajui kuongea. yeye ni straight foward, wa tz tunapenda viongozi wenye kutudanganya na empty promises
 
Nani asiyejua kuwa kuna mikataba 17 ukiwamo wa gesi & mafuta tulisaini na Wachina?! Unafikiri mzee aliyetoka atamweka nani kuilinda kama siyo type ya Muhongo? Hapa remote tu!
 
Hatuwezi kuwapa vitalu vya gesi yetu watu dizaini ya Mzee Machache halafu waende kwa wazungu wakafanye udalali, hilo haliwezekani na halitawezekana mbele ya Muhongo!
 
Mengi ni mnafiki. Alishawahi sababisha waziri akaondolewa kwenye nafasi yake kisa aligoma kumpatia mengi tax exemption. Muhongo yupo sahihi yeye alichowaambia kama una hela njoo. Sema nyie wengi ni malofa hamjui, na Muhongo ndiye atatunyoshea njia.
Walisema nabii hathaminiki kwao, watu wanadandia tu train kisa anajua kurukia

Hivi gharama ya exploration ya gas Mzee wangu Mengi ataweza kuimudu? Anunue equipments atabaki na nini?

Yaani kwa utajiri wake wote ataishia kwenye utafiti na bado hela inaweza isitoshe huo ndo ukweli.

Muhongo hana longolongo ankupa uhalisia pale pale. Naamini ataifanyia makubwa ya manufaa nchi yetu kupitia wizara yake.
 
Kwingine naweza kuamini usemi wa ngumu kumeza, yani ikitiki umeula ila ikibuma ndo basi tena! ila kwa NAPE hapana ata magufuri atoke usingizini sizani km anaweza kumteuwa huyo kiongozi kuwa Waziri....! Haya mambo ya msoga bila shaka
 
Prof Muhongo aliwahi kusema tena kwwnye mdahalo chuo kikuu kuwa katika makampuni ya uchimbaji madini 7 ni ya wazawa na 3 ni ya wageni. haya makampuni 3 ya wageni yamelipa kodi mara dufu ya yale makampuni ya wazawa. hii ina maanisha nini? ?? si uhuni huu tunafanyiana wenyewe?? wafanya biashara haohao ndio wanaongoza kutoa makontena bandarini bila kulipia kodi. ushenz mtupu. msitudanganye na kiaingizio cha uzalendo hapa. kama hulipi kodi unakwepa wewe ni kama kaburuu tuu. unafaa kukamatwa na kufungwa, lakini sio eti kurudi na kulipa kwa kujifanya ulisahau kulipa. ni wizi tuu

Naona unashindwa kufikoria nje ya box
 
mkuu kila nchi kubwa duniani mpaka ukija Nigeria na sa utakuta chumi zao sehemu kubwa zimekuzwa na sekta binafsi ya wafanya biashara wazalendo wenye makampuni na viwanda.

wazawa ndio wana uchungu WA kuwekeza nchini kwao, angalia Dr.mengi,mafuruki nk,wakati wazungu uwezekano mkubwa ni wakimaliza kuvuna wanarudi kwao.
Mengi kila siku ni kulialia tuu, hana hela, anataka awe Mido, sasa hiyo kila mtu anaweza, yaani udalali aka ushenga.
Na ataisoma namba mwaka huu
 
Ila alitusaidia sana kuwa NA Umeme usiokatika katika, hata vijijini Umeme ulipatikana.....
 
Hawa Maprofesa wetu bwana...... kwa nini asitazame jinsi Waarabu wanavyofaidi rasilimali zao. Kwa makusudi kabisa, wamefanya kuwa mgeni yeyote hawezi kufanya biashara bila ya ubia na mzawa. Matokeo yake wazawa pia wameneemeka na siyo mali yote kuhodhiwa na wageni.
Hili pia ni gumu? Mibantu bwana!
 
Hizo data za mengi zipo vizuri. Lakini muhongo mimi namkubali. Maslahi binafsi yawekwe pembeni kwanza, tuangalie maslahi makubwa ya wengi
 
Mengi analake jambo. Makampuni yaliyouziwa gesi ya tanzania yawekewe vikwanzo vya kuuza hisa zao kwa watanzania ili kila mtu hanufaiki na gesi. Na watu kama wakina mengi wanunuwe hisa kwenye hizo kampuni ili nao wanufaike kwani kiukweli hana huo mtaji na kama hana hela za kuwekeza anaficha ili hasiulizwe alikozitoa kwani ni mmoja wa wakwepa kodi mkuu ingawa anajificha kwenye kivuli cha kujiita mtanzania mzawa.
 
Ulithubutu na ukaweza, pumzika kwa amani Mzee Mengi.

Hakika nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.
 
Wewe mdini ni mtanzania yupi anaemiliki vitalu vya gesi wakati ktk maelezo ya mengi amesema muhongo anasema hakuna mtanzani mwenye uwezo wakumiliki vitalu vya gesi kwa kejeli na dharau muhongo kasema vimitaji vyao nivyakuuzia maji na juice tu sasa kama muhongo hajui maswala ya biashara na anafanya kupitiaga tu kwenye makaratasi anawezaje kushindana na mfanyabiashara?wewe pambana na udini biashara waachie wenyewe k......
Hivi Mengi hajui kama vitalu vya gesi vinamilikiwa 100% na Watanzania na hao wageni wanapewa leseni tu za exploration na itapopatikana gas 65% ni mali ya Watanzania na wawekezaji ni 35% tu.

Kama hayajui hayo basi ni mburula wa kutupwa na kama anayajuwa hayo basi ni mpotoshaji wa hali ya juu.
 
Usiangaike naye huyo tunamjua siku nyingi
Wewe mdini ni mtanzania yupi anaemiliki vitalu vya gesi wakati ktk maelezo ya mengi amesema muhongo anasema hakuna mtanzani mwenye uwezo wakumiliki vitalu vya gesi kwa kejeli na dharau muhongo kasema vimitaji vyao nivyakuuzia maji na juice tu sasa kama muhongo hajui maswala ya biashara na anafanya kupitiaga tu kwenye makaratasi anawezaje kushindana na mfanyabiashara?wewe pambana na udini biashara waachie wenyewe k......
 
Kweli mzee Mengi ulikuwa nguli wa biashara Tanzania . Pengo lako itakuwa vigumu kuliziba
 
Kaka ingekuwa siyo wazee wa miwani nyeusi ningekutafuta tukae mahali tule hata dinner
Mzee Mengi acha kubishana na kichaa, huyo Sospeter Muhongo amewehuka na tamaa za kukutana na hela nyingi uzeeni za rushwa ya vitalu vya gesi. Sospeter Muhongo hana consistence yoyote kwenye kauli zake, anarukaruka kama Mbulumundu, leo kaongea hiki na kesho kaongea hiki. Sijui Kikwete huwa anashauriwa na nani wakati anaokoteza watu kama Prof Muhongo. Ni wazi kuwa wasomi wa nchi hii ndio chanzo cha umaskini wa kutupwa wa taifa letu. Ukiwa na maprofesa 10 kama Muhongo kwenye serikali nchi haiwezi KUTAWALIKA. Muhongo ni hatari kwa usalama wa Taifa.
 
Back
Top Bottom