Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kwahiyo amemuambikiza covid.Kwahiyo
Kwahiyo amemuambikiza covid.Kwahiyo
Katibu mkuu kiongozi au makatibu wizara mbalimbali,weka swali lako vizuri ujibiweNaomba kuuliza, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, na Karibu Mkuu.. makaazi yao huwa ni uraiani au ni Ikulu pia?
Wanaishi nje ya ikulu.wewe huwa huoni ving'ora kila asubuhi kuelekea ikulu?Naomba kuuliza, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, na Karibu Mkuu.. makaazi yao huwa ni uraiani au ni Ikulu pia?
Umeandika nini mkuu!!VP kinakufanya uwezo tu bila LOU is kueleweka ndio maana Mpango anaonekana anapwaya pwaya tuuu
Afadhali enzi za JPM makamu alituwakilisha kwenye vikao muhimu nje ya nchi ila Sasa yeye hataki kumpa jukumu Hilo vp.Hicho cheo MKASI ndio unakuwa kitendea kazi chako kikuu kikata utepe kwa ajil ya ufunguzi
Hiki Cheo ndivo kinapaswa kuwa kwa mfumo wa nchi yetu.Unasubiri mwenzako afe ili uendelee alipokwama na kuanza kumnangaHiki cheo sijui kina nini? Hata uwe mchapa kazi kweli kweli ukikipata unakuwa upo upo tu!
Ceremonial! Mbona huyu alitokea huko bila kura unakosema ceremonial.Hicho cheo ni ceremonial, na wajibu wake mkuu ni 'kumsaidia rais' ktk shughuli zake. Rais akifanya shughuli zake mwenyewe basi makamu anakuwa yupo yupo tu. Kwa hiyo hatuwezi kumlaumu Dr Mpango. Tunamjua ni mchapakazi mzuri kwa kazi aliyofanya akiwa waziri wa fedha.
Siipendi hii tabia yake kupaka marangj kichwani.Kichwa kimekolea super black nimezoom mpaka nimecheka
Ikulu ni ofisi na makazi ya mkuu wa nchi pekee hao wengine wana makazi oysterbay hukoNaomba kuuliza, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, na Karibu Mkuu.. makaazi yao huwa ni uraiani au ni Ikulu pia?
Inakuhusu nini kubleach nywele mbona Trump anavaa mpaka wigKichwa kimekolea super black nimezoom mpaka nimecheka
Tecno kaziniUmeandika nini mkuu!!