Huenda anaugulia ndaniHuyu Mwamba alikuwa anatafutwa na Gentamycin juzijuzi tu.
Hicho cheo ni ceremonial, na wajibu wake mkuu ni 'kumsaidia rais' ktk shughuli zake. Rais akifanya shughuli zake mwenyewe basi makamu anakuwa yupo yupo tu. Kwa hiyo hatuwezi kumlaumu Dr Mpango. Tunamjua ni mchapakazi mzuri kwa kazi aliyofanya akiwa waziri wa fedha.Hiki cheo sijui kina nini? Hata uwe mchapa kazi kweli kweli ukikipata unakuwa upo upo tu!
Hajawa Philip Mpango wa kabla ya COVID-19.Huenda anaugulia ndani
Na kupanda miti.Hicho cheo MKASI ndio unakuwa kitendea kazi chako kikuu kikata utepe kwa ajil ya ufunguzi
Umenifanya nirudie post mama kwenda kuzoom. Kuna mijitu haiukubali uzee kabisa . Hata Kassim naye analipaka liblack la kufa mtuKichwa kimekolea super black nimezoom mpaka nimecheka