Dk. Ndulu wa BoT apata tuzo ya gavana bora Afrika

Hakuwa deputy govana wakati wa madudu ya EPA na scandal za BOT za miaka ya nyuma. Prof. Ndulu ameanza kazi BOt mwezi wa kumi mwaka 2007.
 
hivi role mojawapo ya benki kuu si ni kuzui capital flight? sasa fedha wanazolipwa rites kwa ajili ya ukodishaji wa mabehewa na engine , inakuwaje benki kuu walipe bila kuuliza na kutaka mkutano na waziri wa fedha na wauchukuzi na kumshauri raisi?
 
Aliyemteua Ndullu kuwa gavana ,ndio yeye ambae hakutaka Ballali ahojiwe juu ya EPA akiwa hai ilikuzuia ukweli juu ya wizi huo usijuklikane kwahiyo kwa kumteua Ndullu anajua hakuna siri yeyote itakayotoka; na ndio maana madeputygavana wawili waliokuwepo enzi ya Ballali hawajawajibishwa ingawa mmoja wao katajwa mahakamani [ RELI na MKILa] ili ku preserve status quo!! Ndullu hana ubavu wakuwazuia mafisadi wa ccm wasichote fedha BOT!! Kama asemavyo Bubu, mbona uchunguzi juu ya ufisadi wa Nimrod mkono kuchota hela BOT za uwakili hewa Ndullu hajausemea mpaka sasa?
 
Kama swali lako ni makubwa tu basi mie nitakutajia ni reform iliyofanyika baada ya kuwa yeye gavana, kusimamia uchunguzi wa EPA(kumbuka hakuna mshtakiwa aliyemtaja kuhusika), kupitia ajira za wafanyakazi na usimamizi wa uchumi katika kipindi hiki kigumu.

Are you serious?

Reform gani hizi ulizozitaja?, kusimamia uchunguzi wa EPA ni reform?, kupitia ajira za wafanyakazi ni reform? na usimamizi wa uchumi pia ni reform?

Mimi ntakueleza maana ya kufanya reform. Mtu unafanya reform kwa kuzingatia kwamba hautafanya mapinduzi makubwa kwa yale unayoyakuta.

Kwa mfano kwenye hizo ajira anaweza kuwa umeangalia "any serious wrong doings", lakini haimaanishi kwamba ataharibu "fundamental system" ya kupeana ajira miongozi mwa wakubwa na kuwafuza kazi watoto wote wa wakubwa , na kama amefanya hivyo basi uweke majina ya wale wote ambao wamefukuzwa kazi kwa kupata ajira pale BOT kinyemela.

Pili kuhusu hio EPA ni lazima ufanye reforms katika kudhibiti utoaji wa fwedha kiholela kama ilivyokuwa na kama pia ametengeza mfumo mpya bila kuathiri ile ile fundamental system iliopo ambapo watu fulani wanaagiza fwedha zitolewe au zichapishwe bila kuwapo regislation yoyote ile.

Mwisho ni hio kusimamia uchumi ntaomba unitajie tena wapi bwana Ndulu ametoa measures za kudhibiti mzunguko wa fwedha na ubadilishaji wa fwedha.

Tusipende kutamka tu mambo bila kuyaangalia kwa kina.
 
Aliyemteua Ndullu kuwa gavana ,ndio yeye ambae hakutaka Ballali ahojiwe juu ya EPA akiwa hai ilikuzuia ukweli juu ya wizi huo usijuklikane kwahiyo kwa kumteua Ndullu anajua hakuna siri yeyote itakayotoka; na ndio maana madeputygavana wawili waliokuwepo enzi ya Ballali hawajawajibishwa ingawa mmoja wao katajwa mahakamani [ RELI na MKILa] ili ku preserve status quo!! Ndullu hana ubavu wakuwazuia mafisadi wa ccm wasichote fedha BOT!! Kama asemavyo Bubu, mbona uchunguzi juu ya ufisadi wa Nimrod mkono kuchota hela BOT za uwakili hewa Ndullu hajausemea mpaka sasa?


Ulikuwa kwenye bodi ya wakurugenzi, leo hii wewe ndie bosi wa wale wale vibosi uliokuwa nao kwenye bodi, mkisaini na kupitisha 'mikataba' pamoja na kupewa posho za vikao.

Acha hao mashoga wa EPA na mafisadi wengine, je utaweza kuwawekea ngumu CCM wasichote au kuagiza kutengenezewa pesa kama Dr. Idrisa Rashid alivyofanya, au utaogopa kujijenga maadui CCM au mkataba kutokuwa renewed kama mwenzio?
 
Back
Top Bottom