Hili ni zaidi ya somo, kumbe ndani ya serikali mtu anaweza kuibuka nakusoma taarifa amabayo matokeo yake yanaweza kuwa ni janga la taifa. Kiuhalisia hakuna alie juwa Malecela alikuwa kienda kusoma taarifa nzito ambayo uwenda ingweza kwenda kusababisha madhara makubwa kwa taifa.
Hili nijambo la hatari sana na tusikatae vyombo vya usalama vimeona madhara ya watumishi wa seikali kufanya mambo pasipo kutoa taarifa kwa wizara husika.
Ikiwa serikali itaangalia hili jambo kwa jicho la saba unaweza kugunduwa upo udhaifu mkubwa sana ktk utowaji taarifa za serikali, mfano mzuri nikile kitendo cha mh fulani kumchongea mkurugenz mahali ambapo hapakuwa mahali pa kufanya hivyo, pia siku zakaribuni wakurugenz na wakuu wa mikoa wamekuwa na matamko ambayo yanaleta taharuki kwa taifa yote haya ni darasa kwa vyombo vyetu vya usalama.
Nilazima kuanzia sasa kuwe na utaratibu wakuangalia nini nani anasema upo uwezekano mkubwa Mh Ummi alialikwa na Mkurugenz na report alikwenda kuisikiliza protoco kama hizi ni hatari kwa usalama yani waziri anakaribishwa kusikiliza report amabyo hata yeye uwenda hajaiona au kujuwa nini kitasomwa.
Nimtu mjinga au asie na ufaham mzuri kwenye maswala yakiusalama anaweza kusimama nakumtetea huyu mama, kiukweli yapo maswali magumu na mazito wana usalama wanapaswa kujiuliza Huyu Mtafiti alikuwa na agenda gani? Na how smart she was to blind the all state. oR Mh Rais ndie alikuwa smart kuona agender ya siri nyuma ya hili tamko?
Nani walikuwa wakwanza kuona madhara ya msg ya huyu mama au Rais ndie alikuwa wakwanza kuona.
Ndugu zanguni sichelei kusema ikiwa yagizani yatawekwa kwenye nuru hili taifa wapo watu inapaswa kupigwa risasi hadharani, ifike mahali watumishi wa serikali na tahasisi zake wawe na hofu kusema kwa niaba ya serikali mambo yanahusu serikali.
Yapo majaribio mengi yamepangwa ila huko tuendapo Tiss lazima wafanye kitu kabla ya jambo halijatokea.
Nitajitaidi next mada kugusia mpango wa kumfanya Mh Magufuli kuwa Rais wa term moja mpango amabo wapangaji wanapanga kwa namna yakushangaza sana ila kama nilivyokwisha wahi kusema mipango yao kuelekea 2020 nikama mvuke sina uhakika wala sidhani kama watafanikiwa.
TUJIFUNZE KWA MATUKIO KAMWE WATU WACHACHE WASIJE KUTUHUJUMU. Mungu ibariki Tz na Rais wetu Magufuli.
Hili nijambo la hatari sana na tusikatae vyombo vya usalama vimeona madhara ya watumishi wa seikali kufanya mambo pasipo kutoa taarifa kwa wizara husika.
Ikiwa serikali itaangalia hili jambo kwa jicho la saba unaweza kugunduwa upo udhaifu mkubwa sana ktk utowaji taarifa za serikali, mfano mzuri nikile kitendo cha mh fulani kumchongea mkurugenz mahali ambapo hapakuwa mahali pa kufanya hivyo, pia siku zakaribuni wakurugenz na wakuu wa mikoa wamekuwa na matamko ambayo yanaleta taharuki kwa taifa yote haya ni darasa kwa vyombo vyetu vya usalama.
Nilazima kuanzia sasa kuwe na utaratibu wakuangalia nini nani anasema upo uwezekano mkubwa Mh Ummi alialikwa na Mkurugenz na report alikwenda kuisikiliza protoco kama hizi ni hatari kwa usalama yani waziri anakaribishwa kusikiliza report amabyo hata yeye uwenda hajaiona au kujuwa nini kitasomwa.
Nimtu mjinga au asie na ufaham mzuri kwenye maswala yakiusalama anaweza kusimama nakumtetea huyu mama, kiukweli yapo maswali magumu na mazito wana usalama wanapaswa kujiuliza Huyu Mtafiti alikuwa na agenda gani? Na how smart she was to blind the all state. oR Mh Rais ndie alikuwa smart kuona agender ya siri nyuma ya hili tamko?
Nani walikuwa wakwanza kuona madhara ya msg ya huyu mama au Rais ndie alikuwa wakwanza kuona.
Ndugu zanguni sichelei kusema ikiwa yagizani yatawekwa kwenye nuru hili taifa wapo watu inapaswa kupigwa risasi hadharani, ifike mahali watumishi wa serikali na tahasisi zake wawe na hofu kusema kwa niaba ya serikali mambo yanahusu serikali.
Yapo majaribio mengi yamepangwa ila huko tuendapo Tiss lazima wafanye kitu kabla ya jambo halijatokea.
Nitajitaidi next mada kugusia mpango wa kumfanya Mh Magufuli kuwa Rais wa term moja mpango amabo wapangaji wanapanga kwa namna yakushangaza sana ila kama nilivyokwisha wahi kusema mipango yao kuelekea 2020 nikama mvuke sina uhakika wala sidhani kama watafanikiwa.
TUJIFUNZE KWA MATUKIO KAMWE WATU WACHACHE WASIJE KUTUHUJUMU. Mungu ibariki Tz na Rais wetu Magufuli.