Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR

icon1.png
Re: Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR


the Malecelas niliokuwa nawazimia ni Marehemu Ippy hudu Mwele na yule Lawyer
hao waliobaki tutasameheana
:redfaces:
- ??????????????????????
 
Ndio mwele nimchapakazi,ila Nimr kuna wasanii wengi sana wana cook data,na pia kila mwaka wafanyakazi wanaacha kazi kuna nini?
 
Nimekuwa nikimsikia tu kwenye vyombo vya habari hasa vya nje.Binafsi nilijua kabisa ana sifa hizo.Labda kama kuna wengine wanaomzidi.Lakini sishangai.kupendelewa ni sifa ya Serikali hii.Kumbukeni JK alisema kama kuna mwanaume na mwanamke wanashindania nafasi moja basi yeye atamteua mwanamke.Nadhani hao wanaomzid kwa elimu na uwezo, yeye amewazidi Gender.

Hivi karibuni tena mtasikia Kitengo kingine cha hali ya hewa akimuweka mwanamke kuwa DG maana napo anakaimu mwanamke japo kiukweli hana sifa zinazomzidi DR Emmanuel Mpeta ambaye ni mtaalamu aliyebobea katika masuala ya Hali ya Hewa.Lakini kanyimwa hata kukaimu
 
Kwa hiyo alipokaimu kwa miaka mitatu alikuwa safi? Lakini kupewa mikobo amekuwa mborongaji.
 
Dr kitua bado yuko nimr?na kuna mtaalamu mwingine Dr Aziza Mwisongo,Magesa MD,Dr Wambura,Dr Njunwa nasikia wameondoka nimr
 
Ufuatao ni uthibitisho tosha kuwa Mwele ni kichwa and she is highly qualified for this post. I share your concerns kuwa serikalini vyeo vinatolewa ki-ndugu, kwa watoto wa wakubwa, na kila aina ya upendeleo. Ila mkisoma profile yake ifuatayo, nadhani mtakubali huyu mama ni kichwa:

...highly qualified? may be! Wachangiaji nadhani swali lao ni "is she the most qualified"?
 
Tusimsahau Tully Malecela yuko huko DC kwa wanaotuwakilisha UN.

Watoto wao wako kwenye system.
na mke wa mtoto wa Malecela nae alipachikwa pale ubalozini na kuna huyo uliyemtaja wa UN (ambae si mwanae bali alitunzwa tu ila anaenda na jina hilo kwa maana lina maslahi zaidi ya jina la babake mzazi) na huyu aliyeteuliwa jana, wote hawa kinachoteuliwa ni jina ya baba yao, sijui kama wao wenyewe wanalala usingizi proudful kuwa nime achieve something noble kwa uwezo na jitihada yangu mwenyewe.

Hiyo ndio textbook definition of nepotism.
 
Nchi hii bwana!!!! Ukiwa mtoto wa mkubwa basi hutakiwi kupata kazi nzuri, kupandishwa cheo, ubunge na uwaziri ndo aaaaaaaa. Somesheni watoto wenu na nyie ili waje kupata vyeo sio mnabaki kusimanga watoto wa wakubwa. Sioni kwanini watu wana urgue Mwele kupewa nafasi ya DG. Mwele has been with the institute for almost 30 years, very well educated in the field, long experience in different capacities. N apia position ya Acting DG amekaa miaka kama mitatu tangu Dr Kitua astaafu. Kitu ambacho ningependa tu urgue strongly ni ufanisi wa NIMR.

Unajua,ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kuona hakuna tatizo, jakini inawezekana deal ilichongwa miaka mingi iliyopita, that is not impossible.People plan for 1000 years,sembuse thelathini.
 
Mwele is a brilliant girl. I am not sure if the powers that be have ignored other good performers in her Institute, but bearing the name of 'Malecela' should not disqualify her from promotion.

We would be practicing discrimination by the reverse gear if children of prominent personalities in the public services were barred from consideration. What is needed is transparent, objective and fair consideration of all elligible candidates.

Congratulations Dr Mwele Malecela. Try to prove by performance that you deserved it.
 
Enyi Majuha msio mjua Mwele mkae kimya! She is splendid Tanzanian lady with intelectual ability nimefanya naye kazi in professional level for the past 4 years! Shes sweet kwa kazi hata Nov nilikuwa naye Atlanta! Enyi wajungu mpongezeni Kikwete ! Pole Mboera Dr , endelea na ushirikina. We need a transformation in NIMR

hahahah Porti vipi..naona unamfagilia huyu mama! kumbe unamfahamu? Hongera zake mpatie kesho ukimuona ofisini.

In all, mimi kwa kweli..naomba nisiwe mchache wa pongezi..kama kweli huyu dada ana PhD yake ya London School of Tropical Medicine (the real one you know in London!)..na amefanya kazi NMR kwa miaka yote hiyo..naamini anadeserve kuwa hapo alipo. Kwa kweli siyo favour!

Harafu watanzania wenzangu tunasahau kitu kimoja. Ultimately NIMR needs to have a director..kwa hiyo hata asingekuwa huyu mtoto wa Malecela..mwingine angeteuliwa tuu. Sasa labda watu tuhoji sifa zake na uwezo wake..na wala si yeye kuwa Mkurugenzi (to me...kwa hiyo elimu..I believe anafaa kuwa kiongozi wa taasisi muhimu kama hiyo ya NIMR). well sijui publications zake..lakini I believe she is capable.

Kikubwa ndugu zanguni..ELIMU ndo mkombozi wetu..especially watoto wa wakulima..( si unaona mchungaji Masanilo...ilivyomtoa? lol). You can spin and complain..ultimately kama huna shule...well you will end up in the trenches. Hivi unafikiri hakuna watoto wa wakubwa wanaosota mjini? tunawaona wengi..wakiwa kwenye hizi kampuni za dot.com....lakini wale wenye shule unaona kabisa hata kama si TZ..wangefanikiwa tuu. Na Mwele ni Mmoja wao. Sana sana watu labda mlete hoja kama nafasi ilitangazwa vyeti na uzoefu vikashindanishwa..otherwise..mwacheni mtoto wa watu ....harafu swala la network..who knows who..lipo daima..cha kufanya ni kupigania mfumo wa transparency...watu tupewe equal opportunities. Thats all we need na siyo kulaumu.

Hongera Dr. Nakutakia ufanisi katika majukumu yako mapya.

Masanja
 
Back
Top Bottom