Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR

Nchi hii bwana!!!! Ukiwa mtoto wa mkubwa basi hutakiwi kupata kazi nzuri, kupandishwa cheo, ubunge na uwaziri ndo aaaaaaaa. Somesheni watoto wenu na nyie ili waje kupata vyeo sio mnabaki kusimanga watoto wa wakubwa. Sioni kwanini watu wana urgue Mwele kupewa nafasi ya DG. Mwele has been with the institute for almost 30 years, very well educated in the field, long experience in different capacities. N apia position ya Acting DG amekaa miaka kama mitatu tangu Dr Kitua astaafu. Kitu ambacho ningependa tu urgue strongly ni ufanisi wa NIMR.
 
Mzee Malecela is very critical of JK malpractices?!!!
And what was Mzee Nyerere's view on Malecela? I think the rift between Katapila and mzee wa kaya is very slight mostly timing kwenye maslahi!
 
I cant wait kusoma wale wanaolalamika kuwa JK anajaza Waislam wenzie kila kona wakilalamika

Sijaridhika. Mimi nilitaka awe naibu waziri au katibu mkuu pale Afya. She is just different from the other Malecelas (the ones i know)and thats why I've always admired her mwingine niliyekuwa nikimuadmire ni Ipyana ambaye alitangulia mbele ya Haki.

Hata Senyagwa naye alikuwa ni mtu aliyejituma sana, bahati mbaya alitangulia mbele ya haki mapema.

 
HAYA BWANA MAJI HUFUATA MKONDO!SIJUI LINI NASI TUTAINGIA KWENYE MKONDO!wenye pension za wazazi wao hadi kufa ndio wanapata madaraka
 
tutaishia tandika, mwanayamala na manzese, ila watoto na wajukuu wetu watapoona hawana kitu, moto utawaka!
 
Hivi naomba kwa wanaojua hizi research ambazo zimefanyika mpaka sasa outcomes zake....... Kuna any breakhrough ambazo zimepatikana????
 
Huyu mama hana u-kichwa wowote, ni Politics tu!! Kwa NIMR wakali wa ukweli wapo Ifakara na Amani Merical Research!! Hata yule jamaa wa Korogwe DR. GESASE (tafadhalini tafuteni macahpisho na kazi za huyu jamaa, ni mkali hasa japo hana cheo wala madaraka NIMR) amem-zidi sana tu! Kuna watafiti wa nje wamefanya kazi NIMRI, mfano Dr Roly Gosling na Prof. Robert Pool, kati ya hawa sijawahi kumsikia yeyot ekati yao kumkubali Mwele...ni politiks tu na jia kubwa!!

Mkuu hiyo Amani umeifagilia tu. Hakuna kitu kikubwa ambacho wamefanya. Ifakara wanakubalika...
 
Rais Jakaya Kikwete amemteuwa Dk. Mwele Malecela kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa National Institute for Medical Research (NIMR) iliyo chini ya Wizara ya Afya. Dk. Mwele alikuwa ni mtafiti mkuu wa NIMR na amekuwa akikaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu kwa muda. Ni kijana na mwanamke wa kwanza kuiongoza NIMR. Huyu mama ni kichwa sana na anaweza sana kazi. JK huwa anafanya mapupu mengi sana kwenye uteuzi wake ila hapa kafanya kweli.

Source: channel ten news bulletin leo 7pm

kwakuwa ni mgeni kitalani tumpe muda.
 
Hakuna cha tafiti Tanzania, watu wengi wanachakachua tafiti. Nadhani wengi tumemsikia Prof. karim Hirji (mwanahisabati aliyekuwa associate professor wa chuo kikuu cha Washington na sasa yupo Muhimbili kitengo cha biostatistics, hata kwenye maadhimisho ya Uhuru mlimani alitoa lecture) akilalama kwamba watafiti wa kiafrika hususani Tanzania wanachakachua tafiti. Na hata tafiti wanazofanya hazileti tija ya kujibu maswali magumu yanayotusumbua. Hatuna vichwa za kuvumbua, ila tuna vichwa vya kukariri na copy and paste. Yamkini mama Mwele atakuwa mzuri ukilinganisha na wenzake wanaomzunguka.
 
Mama Mwele ni kiomgozi mzuri, mpenda watu na asiye na makuu.Ninamkubali sana maana nimewahi kufanya naye kazi na naweza kusema kwa hakika NIMR imepata kiongozi.
Tumpe ushirikiano badala ya kumponda...hatuwezi kuwa nauhakika asilimia 100 kuwa hana mapunguufu maana ni binadamu. Isitoshe vyeo vipo vichache na wenye uwezo ni wengi. Anayebahatika tumfurahie badala ya kuwa na roho ya "kwanini".
Hongera Mama Mwelecela Malecela
 
Ufuatao ni uthibitisho tosha kuwa Mwele ni kichwa and she is highly qualified for this post. I share your concerns kuwa serikalini vyeo vinatolewa ki-ndugu, kwa watoto wa wakubwa, na kila aina ya upendeleo. Ila mkisoma profile yake ifuatayo, nadhani mtakubali huyu mama ni kichwa:


Mwele Malecela, MSc, PhD


Dr. Mwele Malecela is a Chief Research Scientist and Director of Research Coordination and Promotion on the National Institute for Medical Research, Tanzania. She is also Director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Program. She holds a BsC in Zoology from the University of Dar-es-Salaam, and an MSc and PhD in Parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine.) Her area of specialization was filarial immunology specifically on filarial immune evasion mechanisms.

Mwele has worked at the National Institute for Medical Research for 21 years, mainly in the field of Lymphatic Filariasis immuno-epidemiology, and has also worked in the areas of Health Systems and Policy Research. As Director of Research at NIMR, Mwele’s focus is now mainly research capacity building and the translation of research into action, policy and practice. She has been in the forefront of priority setting for health research activities in Tanzania where she facilitated the Tanzania National Health Research Priority Setting process in 1999 and revision of these priorities in 2005.

In her role as Director of the National Lymphatic Filariasis Elimination Program, she brings her long research experience to efforts to eliminate filariasis, and she has run the national program since its inception in 2000. She is well known for her role in advocacy campaigns that have brought to light the real extent of the problem in Tanzania. Mwele is also well known for her efforts in ensuring that the LF program has a strong operation research component and has published extensively in this area.

Mwele has served on a number of international committees including The Technical Advisory Group of the Global Program to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee, and the advisory board of the Initiative on Public-Private Partnerships in Health (IPPPH). She sits on the board of the Aga Kahn Hospital and the International Medical and Technological University, both based in Dar-es-Salaam, Tanzania; and is an adjunct faculty member for the Public Health Sciences Institute of Morehouse College, Atlanta, Georgia, USA.

Source: The Floating Clinic


Dr Mwele Ntuli Malecela

Dr Mwele Ntuli Malecela is Chief Research Scientist, acting Director General and Director of Research Coordination and Promotion of the National Institute for Medical Research, the United Republic of Tanzania.

She is also Director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Programmme. She worked for 23 years at the National Institute for Medical Research in the field of lymphatic filariasis immuno-epidemiology and has run successful programmes for LF patients.

Dr Malecela has several publications in peer reviewed journals.

Source: WHO | Dr Mwele Ntuli Malecela

Hii inajibu hofu za baadhi ya wana JF kusema eti si MD (mwenzio ana phD) au eti hajafanya research (yeye alikuwa Chief Research Scientist wa NIMR kabla ya promotion hii na amefanya research kibao).

NEED I SAY MORE?

- Mkuu pamoja sana hapa, CV imeshiba wala haina mikwaruzo halafu huyu Dr. Mwele, ni mtu wa kawaida sana kule Atlanta CDC kwenye utafiiti wa kweli, yeye huenda kule kufundisha darasa la wazungu, halafu tena hufundisha haya mambo hata huko New York State, kwenye University moja Albany, duh! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe, hiki ni PURE KICHWAA! HA! HA! yaani wee aaacha tu!


FMEs!
 
Rais Jakaya Kikwete amemteuwa Dk. Mwele Malecela kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa National Institute for Medical Research (NIMR) iliyo chini ya Wizara ya Afya. Dk. Mwele alikuwa ni mtafiti mkuu wa NIMR na amekuwa akikaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu kwa muda. Ni kijana na mwanamke wa kwanza kuiongoza NIMR. Huyu mama ni kichwa sana na anaweza sana kazi. JK huwa anafanya mapupu mengi sana kwenye uteuzi wake ila hapa kafanya kweli.

Source: channel ten news bulletin leo 7pm

- Well saidi bro, hakuna cha kuongeza wala kupunguza, go Big Sister Dr. Mwele!

William.
 
04_09_cymnyv.jpg
 
Tusimsahau Tully Malecela yuko huko DC kwa wanaotuwakilisha UN.
So Malecela hata siku moja hawezi kumgeuka au kuigeuka serikali pamoja na corruption zote.
Jk anatoss na Mzee John Malecela !!!

Watoto wao wako kwenye system.

WJ Malecela lazima utetee system kwa udi na uvumba.
 
icon1.png
Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR


Tusimsahau Tully Malecela yuko huko DC kwa wanaotuwakilisha UN.
So Malecela hata siku moja hawezi kumgeuka au kuigeuka serikali pamoja na corruption zote.
Jk anatoss na Mzee John Malecela !!!

Watoto wao wako kwenye system.

WJ Malecela lazima utetee system kwa udi na uvumba.

- ???????????????? what a great thinking ha! ha! ha!, naona unachanganya topic nyingi sana hapo can we deal with one at a time, yaani ya kuteuliwa kwa Dr. Mwele kushika nafasi, hayo mengine fungulia topic zake hapa sio pake!

William.
 
Enyi Majuha msio mjua Mwele mkae kimya! She is splendid Tanzanian lady with intelectual ability nimefanya naye kazi in professional level for the past 4 years! Shes sweet kwa kazi hata Nov nilikuwa naye Atlanta! Enyi wajungu mpongezeni Kikwete ! Pole Mboera Dr , endelea na ushirikina. We need a transformation in NIMR
 
the Malecelas niliokuwa nawazimia ni Marehemu Ippy hudu Mwele na yule Lawyer


hao waliobaki tutasameheana
 
Enyi Majuha msio mjua Mwele mkae kimya! She is splendid Tanzanian lady with intelectual ability nimefanya naye kazi in professional level for the past 4 years! Shes sweet kwa kazi hata Nov nilikuwa naye Atlanta! Enyi wajungu mpongezeni Kikwete ! Pole Mboera Dr , endelea na ushirikina. We need a transformation in NIMR

Duuuuuuu, she is sweet!!! Aka mimi simo.
 
Mama Mwele ni kiomgozi mzuri, mpenda watu na asiye na makuu.Ninamkubali sana maana nimewahi kufanya naye kazi na naweza kusema kwa hakika NIMR imepata kiongozi.
Tumpe ushirikiano badala ya kumponda...hatuwezi kuwa nauhakika asilimia 100 kuwa hana mapunguufu maana ni binadamu. Isitoshe vyeo vipo vichache na wenye uwezo ni wengi. Anayebahatika tumfurahie badala ya kuwa na roho ya "kwanini".
Hongera Mama Mwelecela Malecela

- Maneno mazito sana, na kinaeleweka hapo!

FMEs!
 
Back
Top Bottom