kisu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 1,004
- 381
Special Economic Zone Authority | SEZAD | Ship Repair Yard and Dry Dock
Angalie wenzenu wanavyojenga!
Angalie wenzenu wanavyojenga!
mara nyingi gharama huwa inadetermine ubora wa kitu
sijajua hapa ngoja niwasiliane na mjomba wa TPA
ataniambia kusudio lao
Haya siyo yaleyale alivyokuwa anapigana nayo Mh Nundu alipokuwa bado pale wizarani mpaka yakamuondoa?
ni kweli mkuu,shida ya Bongo ni MIKATABAFEKI ndo imetawalaSiyo kwa Tanzania. Angalia gharama za ujenzi wa barabara kwa kilomita hapa TZ ulinganishe na ubora, ulinganishe na nchi ya Kenya.