TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Safi sana.
Safi sana rais wetu ajae!we piga kazi tu,majungu waachie wao!
Safi sana.
AhaAa wanafiki wa Chadema mnapongeza Sugu geuzeni santuri iwe Zitto ndio kaandama na Sitta naona mziki wake JF pangekuwa hapatoshi
Chama
Gongo la mboto DSM
Ni wazi Dr Mwakyembe alitaka kuvuta umati mkubwa, na aligundua the only way kupata watu wengi ni kudandia lift ya Sugu. Kwa kifupi Mwakyembe amekiri Sugu anakubalika Mbeya.
Hii si dalili njema, unaweza kuolewa bila hata posa.Una akili nyingi sana wewe!
AhaAa wanafiki wa Chadema mnapongeza Sugu geuzeni santuri iwe Zitto ndio kaandama na Sitta naona mziki wake JF pangekuwa hapatoshi
Chama
Gongo la mboto DSM
Anzisha thread ya kumsifu , kumtukuza na kumwabudu Zitto Kabwe hujakatazwa, hii ni thread ya Mwakyembe kutoa shukrani, tafadhali msituletee tabia za kishoga kwenye hii thread.Kwa kweli umewaza vyema chama, ingekua ni ZZK 2015 hapo ungesikia majungu ya kutosha humu jukwaani.
Nilishasema siku zilizopita 'wa kuwika ni jogoo tu, bundi akiwika anaonekana mchuro'.
Kwa kweli umewaza vyema chama, ingekua ni ZZK 2015 hapo ungesikia majungu ya kutosha humu jukwaani.
Nilishasema siku zilizopita 'wa kuwika ni jogoo tu, bundi akiwika anaonekana mchuro'.
Mwigulu nchemba ajifunze siasa zenye kuwajali wananchi angalau kama hizi!
Sio yeye anapeleka mamluki kuwafanyia fujo wapinzani kisiasa kumbe wanaoumia ni wapiga kura.
Kwa kweli umewaza vyema chama, ingekua ni ZZK 2015 hapo ungesikia majungu ya kutosha humu jukwaani.
Nilishasema siku zilizopita 'wa kuwika ni jogoo tu, bundi akiwika anaonekana mchuro'.
Kwa kweli umewaza vyema chama, ingekua ni ZZK 2015 hapo ungesikia majungu ya kutosha humu jukwaani.
Nilishasema siku zilizopita 'wa kuwika ni jogoo tu, bundi akiwika anaonekana mchuro'.
Ni wazi Dr Mwakyembe alitaka kuvuta umati mkubwa, na aligundua the only way kupata watu wengi ni kudandia lift ya Sugu. Kwa kifupi Mwakyembe amekiri Sugu anakubalika Mbeya.
Waloukaribisha mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande wakiona hivi wanafikiria usaliti tu. But upinzani wa kisiasa sio upinzani wa kijamii, maisha yanaendelea kama kawa. Hope Sugu utakamata wizara moja baada ya 2015, Kyala jo Mpoki.
Mwakyembe turudishie ndege ya ATCL hawa jamaa wa Precission Air wanatunyanyasa na kutugonga mabei ya ajabu sana. Tunataka ndege ATCL ndio shukrani zitapokelewa.
wakigoma wamekutana
Tatizo siyo kwamba "ingekuwa ni ZZK 2015",tatizo ni hautumii akili yako kufikiria,jiulize kama Sugu alialikwa,basi ungeuliza swali ni kwanini Mwakyembe hakumwalika "ZZK 2015",(endapo hakuwepo).Tumia ubongo uliopewa,wanasema kichwa ulichopewa si cha kufugia nywele peke yake.Kwa kweli umewaza vyema chama, ingekua ni ZZK 2015 hapo ungesikia majungu ya kutosha humu jukwaani.
Nilishasema siku zilizopita 'wa kuwika ni jogoo tu, bundi akiwika anaonekana mchuro'.
Safi sana Sugu![/QUOTE]
DUUU, KWA HIYO WENGINE RUKSA ISIPOKUWA ZITTO!!