Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kwako Dk Massawe
tunashukuru kwa jinsi unavyosaidia jamii ya tanzania hasa
kwa upande wa watoto;leo hii nikiwa mmoja wa wadau wa furaha
dispensary tunaomba baba ubadili mfumo wako wa kupokea wagonjwa
kwa kweli wengine tunakata tamaa hali tunaitaji msaada wako
Baaba massawe majuzi nimefika saa kuminamoja asbh dispensary
nikakuta watu 10 wa kwanza wameshachukua nafasi na mzee wetu uchukui zaidi ya kumi,..nikawahi kumi na moja kasoro 20 jamani nikakuta mi ni wa kuminamoja...loh hakika baba embu angalia wazo lako la watu 10..tuhurumie ndugu zako...tunashukuru na kuamini ujumbe huu utafika mahali pake
tunashukuru kwa jinsi unavyosaidia jamii ya tanzania hasa
kwa upande wa watoto;leo hii nikiwa mmoja wa wadau wa furaha
dispensary tunaomba baba ubadili mfumo wako wa kupokea wagonjwa
kwa kweli wengine tunakata tamaa hali tunaitaji msaada wako
Baaba massawe majuzi nimefika saa kuminamoja asbh dispensary
nikakuta watu 10 wa kwanza wameshachukua nafasi na mzee wetu uchukui zaidi ya kumi,..nikawahi kumi na moja kasoro 20 jamani nikakuta mi ni wa kuminamoja...loh hakika baba embu angalia wazo lako la watu 10..tuhurumie ndugu zako...tunashukuru na kuamini ujumbe huu utafika mahali pake