Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,012 Jun 3, 2018 #41 Haya sasa kaburi limefukuliwa
Yamakagashi JF-Expert Member Sep 19, 2016 8,615 17,607 Jun 3, 2018 #42 Dah sasa hivi kamuulize kama yeye ndiye aliyesema kwamba swala la katiba mpya ni la muhimu na nyeti na tume isichakachue maoni ya wananchi Walahi tutakuokota Mabwepande au chuma kitakuhusu Long live Jf
Dah sasa hivi kamuulize kama yeye ndiye aliyesema kwamba swala la katiba mpya ni la muhimu na nyeti na tume isichakachue maoni ya wananchi Walahi tutakuokota Mabwepande au chuma kitakuhusu Long live Jf
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,195 Jun 3, 2018 #43 Victoire said: Hivi ile nyumba alompa kimada wake aliirudisha? Click to expand... Bado
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,602 68,506 Jun 3, 2018 #44 Kumbe mambo ya Libya na Kuwait aliyasema zamani sana kina sadamu wa libya na gadafi wa kuwait hahaaaaa.
Kumbe mambo ya Libya na Kuwait aliyasema zamani sana kina sadamu wa libya na gadafi wa kuwait hahaaaaa.
titimunda JF-Expert Member Nov 26, 2014 7,572 9,763 Jun 3, 2018 #45 MSAGA SUMU said: Nadhani ataibariki ile ya wajanja wachache Click to expand... Enzi hizo kabla hujasajiliwa lumumba fc
MSAGA SUMU said: Nadhani ataibariki ile ya wajanja wachache Click to expand... Enzi hizo kabla hujasajiliwa lumumba fc