chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,606
- 27,822
Man'gana ghasarikile.
Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.
Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.
Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.
Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.
Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.
Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.
Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.
Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.