Dk. Lwaitama ainanga kambi ya Lissu, asema kwamba kama kupendwa hata DiamondPlatnumz anapendwa sana, lakini huwezi kumpa uongozi wa chama

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
16,606
27,822
Man'gana ghasarikile.

Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.

Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.

Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.

Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.

Screenshot_20250102-121411.jpg
 
Man'gana ghasarikile.

Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.

Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.

Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.

Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu akiyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu.

View attachment 3190522
mzee Lwaitama anajitahidi sana leo kueleza ukweli :pulpTRAVOLTA:
 
Hata mimi binafsi nilitamani sana Lissu awe mwenyekiti lakini kaanza kampeni kwa Gia mbovu sanaa ya kusiliba na kusigina viongozi wenzie kitu ambacho naona hana sifa ya upatanishi na usuluhishi pindi itakapotokea migongano ndani ya Chama.

Sasa kama CDM wenyewe hawako huru katika changuzi zao, wanapata wapi Moral authority ya kuihoji ccm juu ya Tume huru ya uchaguzi?
 
Man'gana ghasarikile.

Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.

Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.

Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.

Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.

View attachment 3190522

Kwa hiyo kakubali Mbowe aondolewe kwa sababu kakaa kwenye uenyekiti kwa muda mrefu?
 
Kwa hiyo kakubali Mbowe aondolewe kwa sababu kakaa kwenye uenyekiti kwa muda mrefu?
Anasema hata Lissu kakaa uongozi wa juu wa chama kwa zaidi ya miaka 15,na alikuwa anamshauri Mbowe afanye mambo yote. Kama kigezo ni muda, Lissu naye hafai. Kama kigezo ni maamuzi mabaya ya chama, Lissu ndiye mshauri Mkuu wa Mbowe katika kufikia maamuzi hayo mabaya
 
Anasema hata Lissu kakaa uongozi wa juu wa chama kwa zaidi ya miaka 15,na alikuwa anamshauri Mbowe afanye mambo yote. Kama kigezo ni muda, Lissu naye hafai. Kama kigezo ni maamuzi mabaya ya chama, Lissu ndiye mshauri Mkuu wa Mbowe katika kufikia maamuzi hayo mabaya
Uongozi gani wa juu? Amekua makamu mwenyekiti miaka 5 tu zaidi ya hapo alikua mjumbe wa kamati kuu yenye wajumbe kama 30+.

Pia alimshauri aachane na maridhiano mbowe alikataa na alikiri mwenyewe. Hata kuhusu lowassa lissu na Mnyika walipinga ila collective decisions huwezi amua mtu mmoja tu!! Kwahiyo sio kweli kwamba ushauri wote alikua anapokea wa Lissu
 
Anasema hata Lissu kakaa uongozi wa juu wa chama kwa zaidi ya miaka 15,na alikuwa anamshauri Mbowe afanye mambo yote. Kama kigezo ni muda, Lissu naye hafai. Kama kigezo ni maamuzi mabaya ya chama, Lissu ndiye mshauri Mkuu wa Mbowe katika kufikia maamuzi hayo mabaya
Hujajibu swali langu.

Kwa hiyo kakubali Mbowe aondolewe kwa sababu kakaa kwenye uenyekiti kwa muda mrefu?
 
Hivi una uhakika una kichwa au helmet? Hiyo ni kampuni, sio chama cha siasa
Kampuni ina shareholders na inatafuta faida kwahiyo ukiweka kilaza ina hasara kubwa kuliko chama cha siasa. Hivi unajua wasafi ina mapato makubwa kuliko chadema, sasa ipi inahitaji usimamizi makini zaidi?
 
Back
Top Bottom