Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Dr Charles kitima ambaye ni makamu mkuu wa chuo cha St augustine ameyasema hayo kwenye mahafali ya chuo hicho ambapo mgeni rasmi alikuwa mh John Magufuli.
Amesema kuna wahitimu wa course ya ualimu walihitimu mwezi wa saba mwaka 2012 mpaka sasa wako mtaani wakitafuta ajira wakati shule za kata hazina kabisa walimu,
ndipo akahoji ni nchi gani inayoweza kufanya uzembe wa aina hiyo duniani zaidi ya Tanzania?
Source:StarTV habari.
Amesema kuna wahitimu wa course ya ualimu walihitimu mwezi wa saba mwaka 2012 mpaka sasa wako mtaani wakitafuta ajira wakati shule za kata hazina kabisa walimu,
ndipo akahoji ni nchi gani inayoweza kufanya uzembe wa aina hiyo duniani zaidi ya Tanzania?
Source:StarTV habari.