Dk Kitima: Ni nchi gani inayoweza kufanya uzembe kwenye ajira kama Tanzania?

akili nyepesi kama zako (zilizojaa ccm) ndo zinazofanya watu tuichukie ccm. utawezaje kuzungumza kirahisi kiasi hiki kwa hoja nzito kama hii...! halafu mtz wa aina hii bado na yeye anauaminisha umma kuwa ni mzalendo? nitakuelewa zaidi kama utakuwa form 4 liver ila kama na wewe ni msomi wa degree na ni mzawa wa nchi hii basi utambue kabisa hujaelimika bado. yaani ni heri tuanze kupigana jaman inchi ikombolewe kama wanaotutawala ndo wana akili KIDUCHU namna hii.

Mkuu hao unawaona wapinzani si wapinzani wapo kwa ajili ya ruzuku tu? Mtikila anaweza kuwa mpinzani mzuri kuliko Dr. Slaa unaziangalia siasa za Tanzania kwenye wigo mwepesi sana; usione tu wakihubiri M4C; siku ruzuku ikiondelewa ndio utajua ni nani mpinzani wa kweli wa kweli hivi sasa kila mtu anaangalia maslahi yake binafsi. Mkuu watu wanajenga makasri bado hayajakwisha

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Serikali imefilisika. Asilimia kubwa ya pesa za bajeti kuanzia 2011 imemegwa na itaendelea kumegwa katika bajezi zitakazofuataili kutumika katika utoaji wa rushwa na kuchakachua uchaguzi wa 2015 kuanzia ule wa Wabunge na wa Rais pia. Hata mishahara ya asilimia kubwa ya Wafanyakazi Serikalini hailipwi hadi tarehe 56 au 60 na kuna deni kubwa sana la mabilioni kuhusiana na ujenzi wa barabara.

Dr Charles kitima ambaye ni makamu mkuu wa chuo cha St augustine ameyasema hayo kwenye mahafali ya chuo hicho ambapo mgeni rasmi alikuwa mh John Magufuli.

Amesema kuna wahitimu wa course ya ualimu walihitimu mwezi wa saba mwaka 2012 mpaka sasa wako mtaani wakitafuta ajira wakati shule za kata hazina kabisa walimu,

ndipo akahoji ni nchi gani inayoweza kufanya uzembe wa aina hiyo duniani zaidi ya Tanzania?

Source:StarTV habari.
 
Hongera sana kwa ukweli huo, la ajabu utasikia DHAHIFU MKUU atawaambia washirika wake kwamba, ''msiwakubalie waendelee kusema uwongo'' wasomi wengi wanaogopa kusema ukweli ndio maana wanakuwa wachumia tumbo...
 
huyu dr ni moja ya academician ambao wako strong saana nchi hii kweli pamoja na utofauti wa itikadi za kidini mi namkubali saana

Mkuu mbona unaanza kutaja dini tena? Jamani tubadilike kumkubali mtu sio lazima awe dini unayoabudu wewe!
 
Mh. Nape lifanyie kazi hili suala tunawahitaji walimu, inaeleweka wazi hapa kuna suala bajeti si vibaya lifanyiwa upendeleo maalumu.

Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Nape ndiye anatoa ajira! Bila kumtaja Nape hujisikii raha, Acheni kutumika vibaya
 
Tukumbuke kuwa katika dunia ya leo ya untandawazi jukumu la kutengeneza ajira si la serikari pekee bali ni
jukumu la kila mtu kwa nafasi yake,taasisi za dini,sekta binafsi na mashirika yasio ya kiserikali.hivyo kuilalamikia serikari pekee aitoshi kutatua tatizo hilo,bali ni kuliongeza maradufu.kitu kingine cha kushangaza ni juu ya hao walioitimu kutokuwa wabunifu kutokana na mazingira yao maana haiwezekani mwalimu aliyehitimu shahada fulani kushindwa hata kuanzisha ka-tuition center mahala pake.rai ya ni kuitaka jamii ya wahitimu kwa kada zote kubadili mbinu ya kutafuta ajira ikiwezekana waanze kujitolea kwanza.
 
Mh. Nape lifanyie kazi hili suala tunawahitaji walimu, inaeleweka wazi hapa kuna suala bajeti si vibaya lifanyiwa upendeleo maalumu.
I
Chama
Gongo la mboto DSM

Huyo nape anasaidia Vipi matatizo ya msingi ya wananchi kama naye siyo kulalamika na kutoa maagizo yasiyokuwa na mashiko.alizunguka na mawaziri nchi nzima matokeo yake
alikuwa nini?wameanza tena ziara na kinana Yale Yale kila siku unawauliza wananchi mnava size ngapi na viatu uwapelekei.
 
Nakataa kwenye hilo wapinzani ndio wametuharibia nchi macho na masikio yao ni kwenye ruzuku tu, kazi kubwa ya vyama vya upinzani ni kuipa changamoto kwenye mambo ya maendeleo hawa wetu zaidi ya ruzuku hawana jipya

Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Hata hivi unavofikiri tayari unathibitisha unyang'au wa CCM kwenye elimu za watanzania!
 
Dr Charles kitima ambaye ni makamu mkuu wa chuo cha St augustine ameyasema hayo kwenye mahafali ya chuo hicho ambapo mgeni rasmi alikuwa mh John Magufuli.

Amesema kuna wahitimu wa course ya ualimu walihitimu mwezi wa saba mwaka 2012 mpaka sasa wako mtaani wakitafuta ajira wakati shule za kata hazina kabisa walimu,

ndipo akahoji ni nchi gani inayoweza kufanya uzembe wa aina hiyo duniani zaidi ya Tanzania?

Source:StarTV habari.

up to november there is 47 million amerika living on food stumps,these people have no job.
Many job in Usa have been outsourced to china ,many company have gone bankrupt or downsizing to cut cost.THIS have to many people loosing job and depends on government to feed them.
47 is about the entire population of Tanzania.
The entire population of canada which is about 38 million.
Or twice the population of Australia which is 22 millioni.
 
Dr kitima ni moja ya wasomi walio huru kifikra hajafungwa na mfumo wala si mtumwa wa ufahamu..... sikiliza matamko ya dr bana ndio utajua TZ ina wazuoni? au wachumia tumbo?
 
Nape ndiye anatoa ajira! Bila kumtaja Nape hujisikii raha, Acheni kutumika vibaya

Na yeye anatoa mahagizo kama nape na kinana, kibaya ni yeye anamuagiza nape na nape atamuagiza yule kihiyo asiyejua historia ya Tanzania imetokana na muungano wa nchi zipi.
 
Sasa huyo mwalimu mkuu wa saut angedhihirisha usomi wake kwa kuweka data .aafu malalamishi haya amechelewa sana kuyasema sijui alikua wapi?ANGEYASEMA 1962.
 
Hata hivi unavofikiri tayari unathibitisha unyang'au wa CCM kwenye elimu za watanzania!

CCM inaendelea na jitihada zake za kuboresha elimu changamoto bado ni kubwa ila tunaendelea na lengo letu la kumuelemisha mtanzani!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom