Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Ameyasema hayo wakati akiwasilisha mada ya nafasi ya mwanamke katika Tanzania ya viwanda kwenye kongamano lililowakutanisha zaidi ya wanawake mia moja kutoka sehemu mbalimbali nchini lililopewa jina la Women Roundtable forum
"Magufuli ana kasi ambayo msiokuwa na mbio mtapiga pua chini, akina mama mnalitazama hilo, mimi hili linaninyima usingizi, tukiachwa na mapinduzi haya tutakuwa wageni wa nani, nawaonea huruma wanawake wenzangu na ujuzi wenu "alisema Mongella
Hata hivyo, Mongella ameitaka Serikali kuwaandaa wanawake kitaaluma ili kuweza kushiriki kikamilifu katika uchumi wa viwanda bila kuwafanya wanawake wababaike na kupiga magoti ili wapate haki zao.
Source : Dar24