dr masaburi kwa kweli umewaumiza watanzania kwa ujasili wako wa kipuuzi kumuuzia simon group hisa 51 ambazo zilizokuwa zinamilikiwa na serikali ni jambo ambalo atukutarajia wakazi wa dar es salaam wewe kufanya ujanja na kuwazunguka wajumbe wa baraza la madiwani na kumuuzia simon group UDA na umevunja taratibu za baraza la madiwani kwa sababu wewe binafsi na kwa nafasi yako auna uwezo wa kuuza UDA bila maamzi ya baraza la madiwani kuidhinisha.
Kibaya zaidi ulicho kifanya ni kamati ya uwekezaji walipotaka kwenda kutembelea UDA juzi ulitia fitina na kuwaeleza msitembelee kwa sababu waandishi wa habari wametanda na ndipo hiyo ziara ilipoailishwa ghafla na sababu kubwa ulijua robert ataweka mambo wazi na kuwa eleza wajumbe wa kamati kuwa sasa hivi yeye anaimiliki UDA kwa asilimia mia moja kwa hyo kamati awana wajibu wa kuhoji kwa nn UDA imekuwa godown ya kuhifadhia makontena.
Kwa kweli masaburi ujawatendea haki watanzania na hasa wakazi wa dar es salaam kwa kitu ulichokifanya na ukitambua ni makosa makubwa kucheza na mali ya uma.
Wana jf tuungane kupiga vita unyama huu wa viongozi wasio waadilifu kuteketeza mali za uma na ikiwezekana hatua kali zichukulie juu ya mtu huyu kwa sababu ni janga la kitaifa kwa mtu kama huyu
Kibaya zaidi ulicho kifanya ni kamati ya uwekezaji walipotaka kwenda kutembelea UDA juzi ulitia fitina na kuwaeleza msitembelee kwa sababu waandishi wa habari wametanda na ndipo hiyo ziara ilipoailishwa ghafla na sababu kubwa ulijua robert ataweka mambo wazi na kuwa eleza wajumbe wa kamati kuwa sasa hivi yeye anaimiliki UDA kwa asilimia mia moja kwa hyo kamati awana wajibu wa kuhoji kwa nn UDA imekuwa godown ya kuhifadhia makontena.
Kwa kweli masaburi ujawatendea haki watanzania na hasa wakazi wa dar es salaam kwa kitu ulichokifanya na ukitambua ni makosa makubwa kucheza na mali ya uma.
Wana jf tuungane kupiga vita unyama huu wa viongozi wasio waadilifu kuteketeza mali za uma na ikiwezekana hatua kali zichukulie juu ya mtu huyu kwa sababu ni janga la kitaifa kwa mtu kama huyu