Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Dar ingekuwa na wazalendo kama hawa ungekuta Tz imesha kuwa huru.hawa jamaa hawana mchezo na magamba
Kabisa.
Na ukitaka upigwe mawe Mbeya, basi umseme vibaya Mr Sugu. Tatizo Dar imejaa wachumia tumbo wasiojua haki zao kabisa, ndio sababu magamba wanafanya kila wanalotaka bila kuzomewa