Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Kwenye Siasa, hii familia ya Billal wanalaniwa sana kuwa ni Weupe na hakuwafai ila unajua tena njaa.....
Ila unapowaweka Darasani, tafadhali bana. Huyu jamaa ni mkali sana kwenye field yake ila alichukuliwa enzi ya Kigoma Malima na kuingizwa kwenye siasa kwa wimbo wa "Waislaam sasa zamu yetu."
Akiwa wizara ya elimu kama katibu Mkuu na Mkapa kama Waziri, alikuwa na dharau kubwa sana kwa boss wake kwa kumruka mara nyingi na kwenda moja kwa moja kwa Homeboy wake Rais Mwinyi, hapo upande wa Pili wa Wizara ya elimu yaani Ikulu.
Sijui kwa nini yeye na mdogo wake waliacha kazi wanazoziweza zaidi na kujiingiza kwenye Siasa ambazo hawaziwezi?
Huyu si kuwa ana Masters ila ana PhD ya Nuclear Physics... Waliosoma UDSM Engineering wanamfahamu sana na kumvulia kofia yake kama mtaalam wa hayo mambo. Ila ukweli ni kuwa Physics siyo Siasa.
kama yeye ni mkali wa nyuklia mbona tz hakuna umeme. kwa hiyo hata kama anakariri basi ni mkali. tunataka matendo sio maneno. au kwa kiswahili kingine, practical sio theoey, hicho unachotuambia sasa
ni theory tu. elimu usiyo na manufaa kwa jamii is equal to zero. eti ana mastazi ya nyuklia!
nyuklia my foot