Dk. Batilda kapoteza mtoto

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
823
1,335
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi nimezipata kwa mtoto wa mdogo wake anayesoma udom. masikini burianiiiiiiiiiiiii:israel::peep::cool:
 
Kama kweli awe mvumilivu watu ndo wameamua.
Pole mama matilda ndo ukubwa huo
 
Hii habari ina hadhi ya kukaa hapa kweli?:A S angry:
JUKWAA NILA TETESI MZEE, mzee unakurupuka kwenye majukwaa usiyoyajua, labda zungumzia kama habari inavunja hadhi ya mtu, ila hapa ni mahala pake hasa.
 
Mpuuzi huyu mama. Kwa nini alivalia njuga uchaguzi bila kufikiria afya ya mtoto aliyembeba tumboni mwake. She must be a self cenred woman!! Ndiyo sababu wenzao huko majuu huwa wanamalizana na watoto kabla ya kuingia kwenye siasa. Inaonyesha ni jinsi gani planning TZ ni tatizo mpaka kwa wasomi wetu!!
 
JUKWAA NILA TETESI MZEE, mzee unakurupuka kwenye majukwaa usiyoyajua, labda zungumzia kama habari inavunja hadhi ya mtu, ila hapa ni mahala pake hasa.

Ni jukwaa la Matokeo (Si matukio) au Tetesi?
 
Narudia tena. Tatizo la wagombea wa CCM hawakujiandaa kushindwa kitu ambacho ni kibaya sana ktk mashindano yeyote yale.
 
Re: dk.batilda kapoteza mtotooooooo
quote_icon.png
Originally Posted by Kiraka
Hii habari ina hadhi ya kukaa hapa kweli?
A%20S%20angry.gif




JUKWAA NILA TETESI MZEE, mzee unakurupuka kwenye majukwaa usiyoyajua, labda zungumzia kama habari inavunja hadhi ya mtu, ila hapa ni mahala pake hasa.​
Hapa ni matokeo ya uchaguzi haya mengine yanatoka wapi?

Kwa kuongezea mama huyu hana cha mimba wala cha uja wepesi ila hizo ni ghiliba za kisiasa tu wapigakura wamwonee huruma. Lakini usitarajie hilo tumbo likapotea kwa sababu ni uvimbe wa elimu dunia....................wazungu wasema "a curse of consumption"..... .yaani amekula visivyoliwa na hayo ndiyo matunda yake................Sitafafanua na asiye mwana aeleke jiwe.............
 
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi nimezipata kwa mtoto wa mdogo wake anayesoma udom. masikini burianiiiiiiiiiiiii:israel::peep::cool:

Kayataka mwenyewe. ule umri si kutembea pekupeku. hao ndo wanaharibu watoto wetu. pumbaf
 
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi nimezipata kwa mtoto wa mdogo wake anayesoma udom. masikini burianiiiiiiiiiiiii:israel::peep::cool:


Amesababisha kifo au!!??
 
My godnesss..kwanini afikie huku?...uchaguzi umeisha lakini maisha yanaendelea....kwanini anaruhusu hali hii?
Too bad(if true)
 
mtu mwemyewe ndo kwanza ana post 10 kwenye jamii forum.. hivyo bado ajaelewa mambo yanaendaje,msimseme vibaya tumsaidie kumwelekeza
 
Slaa anaibiwa kura sisi tunapiga soga za mimba. Haya ndo matatizo ya Watanzania. Tunaacha kuzungumzia mambo ya maana tunaanza kuzungumzia mimba, Yanga na Simba, Arsenal na upuuzi mwingine. Leteni matokeo bwana, haya mambo ya mimba ya nini bwana!!! Ah!!
 
mtu mwemyewe ndo kwanza ana post 10 kwenye jamii forum.. hivyo bado ajaelewa mambo yanaendaje,msimseme vibaya tumsaidie kumwelekeza

Huyu jamaa ni mgeni hatuna noma naye. Tatizo ni hawa wakongwe wanaoendeleza mjadala. Paka Jimmy na Ndibalema ni wageni? Wanamwacha Slaa anaibiwa wao wanazungumzia mimba.
 
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi nimezipata kwa mtoto wa mdogo wake anayesoma udom. masikini burianiiiiiiiiiiiii:israel::peep::cool:


Acha udaku mkuu!! Hii si habari ya great thinkers kuhangaika nayo!! Never the less, hapa si mahali pake, nenda kaweke kwenye matangazo huko!!!
 
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi nimezipata kwa mtoto wa mdogo wake anayesoma udom. masikini burianiiiiiiiiiiiii:israel::peep::cool:

Acheni huu ushnzi hauwezi kuwasaidia kitu.......Siasa zisiondoe ubinadamu wenu....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom