Siume wapokonya uhakika huo kwa mambavu.Kwani Chadema haina uhakika wa kupokea ruzuku?
Siume wapokonya uhakika huo kwa mambavu.Kwani Chadema haina uhakika wa kupokea ruzuku?
Hizi ngonjera Zina muda mrefu Sana lakini huo muda wa malipo haijawahi fika zaidi mnaongeza madeni.Msemaji wa serikali amesha tolea majibu kuwa, mwezi huu wa march mtalipwa malimbikizo yenu ya mshahara, na pia kafafanua vizuri tu kuwa kwa mujibu wa miongozo hatakiwi kabisa taasisi ya serikali au wizara kutengeneza au kulimbikiza madeni ya watumishi wake. Nakusihi kuwa na amani malipo yenu ya malimbikizo yanalipwa mwezi huu.
Ukimsikiliza huyo jamaa unaweza hisi anazungumzia kisiwa cha bruneiMsemaji mkuu wa serikali yuko mubashara TBC akielezea mafanikio ya awamu ya 5.
Itakua,Wanakata kila siku kwa masaa 12 kwa miezi sasa.Hiyo miti wanakata usiku gizani?
Yaani sijawahi kuona watu ambao hawana Busara kama hii Awamu. Hivi anadhani hapo kazi yake ni mipasho ?, Hao anaongea nao ni walipa kodi kwahio hata kama hawafurahii matumizi ya Kodi zao, ni vema wakaeleweshwa / wakabembelezwa na sio Kubezwa.Hivyo wale wanaonuna wakiona madaraja na mabwawa ya kufua umeme yanaendelea kujengwa basi wajiandae " kununa" zaidi kwani mengi mazuri yanakuja, amesema.
Leo ni siku ya wanawake duniani!Ha ha haaa. Hii serikali raha sana. Yaani msemaji wa serikali anaitisha press nzima yoooote ile kuja kusuta watu? Ama kweli ni Washamba na malimbukeni.
Wanaongea hivyo kwa sababu cha kuwafanya hakuna, sisi ni kama vijidudu flani tu mbele yao wanaweza kutufanya chochote kile popote pale.Yaani sijawahi kuona watu ambao hawana Busara kama hii Awamu.Hivi anadhani hapo kazi yake ni mipasho? Hao anaongea nao ni walipa kodi kwahio hata kama hawafurahii matumizi ya Kodi zao, ni vema wakaeleshwa / wakabembelezwa na sio Kubezwa.
Kahaba mkubwa kama aliyekuzaaKumbe unalialia Sana humu sababu ya uvivu na umasikini wako? Mimi pia nipo tayari kukupa hayo mahela, nitafute pm.
Mkuu mimi ni kada, ninyi mnanitia wasiwasi.Msemaji mkuu wa serikali yuko mubashara TBC akielezea mafanikio ya awamu ya 5.
NimekuelewaLeo ni siku ya wanawake duniani!
Ha ha haaa. Hii serikali raha sana. Yaani msemaji wa serikali anaitisha press nzima yoooote ile kuja kusuta watu? Ama kweli ni Washamba na malimbukeni.
Lakini leo ni siku ya wanawake duniani. So serikali imeamua kuwaunga mkono kwakuitisha press na kusuta wananchi wakeHahaahaaa!
Hukukosea yule msanii aliyeimba:
"Huo ni ushamba!"
Au nasema uongo ndugu zangu?
Lakini leo ni siku ya wanawake duniani. So serikali imeamua kuwaunga mkono kwakuitisha press na kusuta wananchi wake
Msemaji wa serikali amesha tolea majibu kuwa, mwezi huu wa march mtalipwa malimbikizo yenu ya mshahara, na pia kafafanua vizuri tu kuwa kwa mujibu wa miongozo haitakiwi kabisa taasisi yoyote ya serikali au wizara kutengeneza au kulimbikiza madeni ya watumishi wake, kwa maana hakuna lolote litakalo fanyika bila fedha kutengwa.
.nakusihi kuwa na amani malipo yenu ya malimbikizo yanalipwa mwezi huu.
sio tu kupokea mahela na kuna uwezekano hata chanjo kameshapata kimya kimya.. 😷Hawa jamaa wana uhakika wa kupokea mahela hivyo hawaathiriki.
Mkuu umemaliza kila kitu hata chenchi yote kwishney.Awamu ya tano kwa mipasho tu hawajambo.
Wawe wanavaa dera kabisa.