LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,065
- 26,999
Unapo piga simu kwenye namba ya AIRTEL halafu mpokeaji akawa hapatikani basi itasikika sauti ya DJ FETTY wa Clouds FM ikisema " AIRTEL YATOSHA blah blah blah , then baadaye inakuja SAMAHANI, NAMBA UNAYO PIGA HAIPATIKANI KWA SASA , then blah blah blah. Hapa kwenye SAMAHANI,NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI KWA SASA ndo huwa balaa! sauti imekaa kimahaba balaa, kila inapofikia hapo huwa lazima nisisimkwe! wakati mwingine huwa nalowanisha boxer ! Nimenunua line mpya ya airtel maalumu kwa ajili ya kusikiliza sauti ya DJ FETTY, huwa naizima halafu naipiga ili nimsikie fetty nisisimkwe. Ebana ni nouma sana. NIMEKUBALI, AIRTEL YATOSHA