Dizasta anajua ila kumpandisha juu ya fid q ni kutaka Mods wakuchape Ban.
Nikki anajuaNikki Mbishi Yupo vyema sana.
Nadhani kwa Tz bongo kizazi chake ni wachache sana wanaweza kulegeza kamba za viatu vyake.
Kila Eneo yupo vizuri mno,Freestyle,Mapenzi,Harakati,Uanfishi wa mashairi,Utundu wa kuchezea maneno(lugha) na Umahiri wa lugha English & Swahili.
No body is safe 3 ni kali sana. Naona g nako kajibu diss ya jamaa kwenye nyeusi interlude....😂😂😂Jamaa katoa nyimbo nyingine kali...zicheki youtube
Album ilishatoka.. vipi umenunuaNo body is safe 3 ni kali sana. Naona g nako kajibu diss ya jamaa kwenye nyeusi interlude....
Binafsi naisubiri sana album yake hiyo December.
Lakini sio kumlinganisha na FidKiukweli fid q kwenye rank ya wagumu huwez kumueka mtoa mada yuko sahihi fid q kalegeza sio kama awali
Kwa sasa haujakosea. Yaani kizaz cha sasa .. maana wengi hawapo real. Ni business oriented. Ukilinganisha na wasanii kama akina Q tulio wazowea. Pia hata kwa kizaz hiki bado hujalinganish vzr ... Ni msanii mkali sawa ila bado wapo wakali zaidi . Pata nafas msikilize vzr huyo rapcha utaona anakituSiwafichi mpaka sasa Dizasta vina anaweza kuwa best real rapper Tanzania....take time umsikilize...Huyu jamaa kanifanya nifute nyimbo zote za wasanii kama kina Fid Q kwenye playlist yangu.