Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,390
Shukurani mwana.We mzee upande huu unanifurahisha sana
Wewe ni mtu makini sana
Big up KIRANGA
Fani tumeianzisha wenyewe Bingo hii na bado tunaifuatilia.
Shukurani mwana.We mzee upande huu unanifurahisha sana
Wewe ni mtu makini sana
Big up KIRANGA
Nikimuongeza B boy Sterio na P the MC, list inakamilika!Dizasta, Ghetto Ambassador, One The Incredible, Baba Malcolm, Algebra
Hawa wapo kwenye replay kwa sasa.
Mimi mwanamme kamili naamini lazima asikilize ngumuNikimuongeza B boy Sterio na P the MC, list inakamilika!
mkuu hujui maana ya nyeusi ngumu!!!Boshoo ninja
Best of the best
Hahaha noma kakasema nataka kulewa............ha ha ha ha ha ha ha ha bonge la punchline alipiga pale city rap battles
Upepo ni kumbunga/ mchawi ni kimbunga/ oya nakupungia nawewe mwana punga/..
Aisee nikki mbishi ni hatari jamani..
Siwafichi mpaka sasa Dizasta vina anaweza kuwa best real rapper Tanzania....take time umsikilize...Huyu jamaa kanifanya nifute nyimbo zote za wasanii kama kina Fid Q kwenye playlist yangu.
Sawa,Siwafichi mpaka sasa Dizasta vina anaweza kuwa best real rapper Tanzania....take time umsikilize...Huyu jamaa kanifanya nifute nyimbo zote za wasanii kama kina Fid Q kwenye playlist yangu.
Haha umembamba kwa kasi ya 4G
Sasa Fid nae kwasasa utasema ni Rapper?? Dizasta ni mzuri ingawa nae pia atakuja kubadilika kama Joh! Kwangu JCB bado ni Rapper bora Bongo na anaefuata misingi!
Hahaha,,Upepo ni kumbunga/ mchawi ni kimbunga/ oya nakupungia nawewe mwana punga/..
Aisee nikki mbishi ni hatari jamani..
Wimbo gani huo wa dizastaHaya mashairi ya dizasta vina niliyapigia saluti ukichanganya na njisi alivyokuwa akinata na biti hatari tupu aisee.
Napata hasira natamani kuropoka/
Nikikumbuka walikopelekwa wenzangu naogopa/
Familia yangu na Taifa vinaongozwa na woga/
Sauti hii iwaguse Mfano wa mikuno/
Mikuno ya sauti nyingi zinazozimwa na mifumo/
Nahaiwezi kusikika tukisema yaliyotusibu/
Sisi hatuna haki yoyote mwenye nayo ajaribu/
Rest in peace dingi natamani nije/
Natamani kufa,natamani ninge/
Natamani nile/
Ninavyeti sina kazi jimama nitongoze/
Nipe ngoma kisha nife/
The lost one,no direction no internal peace no love no money no life no everything no even word of inspirations no purpose.
Pesa imenifanya nageuka nuksi napoikosa/
Dada zangu wamewekeza uchi kwa vibopa/