Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,449
AnakwambiaKuna msanii mmoja anitwa Nash Mc(moja ya wasanii ni nao wakubali pia)alikuwa Germany, akapata kuhojiwa na idhaa ya kiswahili DW Bonn-Germany.
Akaulizwa yupi msanii unayekumbali kwamba Unauwezo Tz,akamtaja Baba Malcolm/ Unju bin unuq.
Unju ana-uwezo mzuri sana.
"Usisubiri Mpaka nife ndio unisifu,
Uandike wasifu nizikwe nisahaulike zipite siku"-Usisubiri
Kuna wimbo wake mmoja alichana kama Snoop doggy basi ilikuwa ni full shangwe,alinifurahisha sana.
"Harmonize kaja jana na leo anakaa Masaki
Anavaa mashati, siku hizi hafanani kukaa Masasi"
Hahaaaaaa.
Nimecheka saaana hapo.