Mkuu hiyo ni kweli au chai tu ?JAMANI MUACHENI AJUI ALITENDALO NADHANI HAMJUI JESHI LA MTU MMOJA
Ngosha the don ambae hata mkuu wa nchi ana nyimbo zake kwenye simu yake
Baba Malcolm yuko nzuri.aisee kwangu mm Nikki mbishi ndo real RAPPER
Kiukweli fid q kwenye rank ya wagumu huwez kumueka mtoa mada yuko sahihi fid q kalegeza sio kama awaliUnamuongelea fid q yupi uliemfuta kweny list na una muda gani unafuatilia game hii?
Waambie haoDizasta, Ghetto Ambassador, One The Incredible, Baba Malcolm, Algebra
Hawa wapo kwenye replay kwa sasa.
Aisee ule uzi wetu wa freestyle bado upo?Dizasta Vina... nimemiss ngumu mazee ziwekeni basi tukaze bichwa.