Kichapo13
Member
- Jan 27, 2013
- 75
- 30
Diwani wa Kata ya Yombo Kilakala (CCM) Elizabeth Magwaja amelalamikiwa na wenyeviti wa matawi katika kata hiyo kwa kile kinachodaiwa kuwa anaunga mkono vyama vya upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Wenyeviti hao wameandika barua kwa Katibu wa CCM wilaya ya Temeke wakimshutumu Diwani huyo kwamba amekuwa akiwasaidia wagombea wa UKAWA ili washinde katika kata yake baada ya wapambe wake kuangushwa katika kura za maoni.
Tayari imefahamika kwamba Kamati ya Maadili ya chama hicho wilaya, itamhoji Diwani huyo wikiendi hii.
Wenyeviti hao wameandika barua kwa Katibu wa CCM wilaya ya Temeke wakimshutumu Diwani huyo kwamba amekuwa akiwasaidia wagombea wa UKAWA ili washinde katika kata yake baada ya wapambe wake kuangushwa katika kura za maoni.
Tayari imefahamika kwamba Kamati ya Maadili ya chama hicho wilaya, itamhoji Diwani huyo wikiendi hii.