Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,448
- 215,242
===
Mwenyekiti wa Kamati ya Mipangomiji, Miundombinu na Mazingira
Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi
Mjumbe wa Kamati ya Mipango na Uratibu
Alikuwa Diwani wa kuchaguliwa Tabata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata Kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.Huyu Kamanda ni miongoni mwa wapambanaji wanaofahamika jijini Dar es Salaam, ni mpigania haki asiye na shaka yoyote. Wana Rombo wakibahatika kumpata itakuwa baraka kubwa sana.
Huyo DAS ameomba ruhusa ?Atakutana na Das Aboubakary Asenga!
Atakutana na Das Aboubakary Asenga!
Watakuambia diwani hatoi pesaDiwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.
HahahaWatakuambia diwani hatoi pesa
Mlevi asiye jiheshimuDiwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.
Kodi yako unailipa kwa Diwani ?Diwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.
Abubakar alipigwa Kilombero, na huku atapigwa tena!Atakutana na Das Aboubakary Asenga!
fikiri kabla ya kuandika upimbi mkuu, lini diwani anajenga barabara? Na Tarura wanafanya kz gn?Diwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.
Nasikia tatizo ni chama alichopo ndio Maana hazijajengwaDiwani wa hovyo kabisa, Barabara za Tabata kimanga ni mahandaki matupu hakuna alichokifanya.