Uchaguzi 2020 Diwani wa Tabata, Patrick Asenga achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Rombo, kupitia Chadema

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,448
215,242
Mtia Nia Ubunge Jimbo la Rombo Kamanda Patrick Assenga amefika katika ofisi za c ( 479 X 640 ).jpg
Huyu Kamanda ni miongoni mwa wapambanaji wanaofahamika jijini Dar es Salaam, ni mpigania haki asiye na shaka yoyote. Wana Rombo wakibahatika kumpata itakuwa baraka kubwa sana.

===
Mwenyekiti wa Kamati ya Mipangomiji, Miundombinu na Mazingira
Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi
Mjumbe wa Kamati ya Mipango na Uratibu
Alikuwa Diwani wa kuchaguliwa Tabata
 
Huyu mwamba namfahamu, mwaka jana mwanzoni tulikutana segerea mwisho tulipiga sana story, jamaa ana misimamo sana, nilimuliza vip wenzako wanaunga mkono juhudi je wew vip? Mshikaji aliniahidi ilo kutokea kamwe
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom