MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #181
Dawa za kuongeza nguvu michezoni zinawamaliza hawa wazee wenye visukari na presha
Unamaanisha PED Ndugu au nyingine?
Dawa za kuongeza nguvu michezoni zinawamaliza hawa wazee wenye visukari na presha
Imemtokea puani.Inawezekana alipiga viagra apate value for his money.
mbona kujigawaNina Mzee Mmoja jirani yangu sasa anaitafuta miaka 80 ila ana Bajeti Maalum ya Kununua Dawa za Kuongeza nguvu za Kiume Wiki mbili nyuma alizimia Gesti ila tunaomjua tukamuwahi na Kumsaidia.
Hivi ninavyoandika aliniaga leo tokea Saa 5 Asubuhi kuwa ana Demu anaenda Kumgonga na hadi Saa 2 hii ya Usiku bado hajarudi Kijiweni Kwetu na taratibu tumeanza Kujigawa katika Kumsaka huku Mimi nikipewa Jukumu la Kupitia Mochwari kadhaa Kuulizia na wengine Kuulizia katika Nyumba za Kulala Wageni.
Mtu unakaribia miaka 80 lakini bado tu unataka Kukatikiwa Viuno na Vibinti vya miaka 21 hivi huku kama si kukitafuta Kifo kwa Makusudi ni nini?
Jamani Wazee tulieni acheni Umalaya!!!!
mbona kujigawa
Badala atatue kero za wananchi yeye anaenda kuwatomba
Kwa Sasa tusiwa pre empty ccm .Tusubiri iwe mkuu.Najua bado hajawa kwakuwa Wanasubiria Uchaguzi wa Chama mwakani au wa Dharula ili azibe nafasi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli.
Je, kwa dhana hii na ikijulikana ' automatically ' tu kuwa Mwenyekiti Taifa CCM atakuwa Yeye akiitwa hivyo sasa ni Kosa / Dhambi?
Acha kuwanyanyapaa watu kwa misingi ya umriTaarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtimika na kuwa mazishi yake yatafanyika leo katika makaburi ya Tanita yaliyopo eneo la Kibonde Maji.
Mmoja wa wahudumu nyumba hiyo ya kulala wageni (jina lake linahifadhiwa) amesema diwani huyo alifika akiwa na gari wakiwa na msichana usiku wa kuamkia juzi na kuchukua moja ya chumba katika nyumba hiyo.
Amesema asubuhi baada ya kuamka wakati akifanya usafi ndipo alipoukuta ufunguo wa chumba alichokuwa amekichukua diwani huyo na msichana huyo ukiwa umetupwa chini ambapo alishituka na kwenda katika chumba hicho na kukuta kikiwa kimefungwa na kilipofunguliwa walimkuta diwani huyo akiwa amefariki lakini yule msichana waliyekuwa naye hayupo.
Muhudumu huyo amesema baada ya kuona tukio hilo walitoa taarifa polisi ambao walifika na baada ya kuwahoji waliuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Chanzo: Nipashe Online
Hivi nyie Wazee Wetu ( Baba zetu ) kwanini mnaacha Kutulia Majumbani na Mama zetu hadi mnahangaika na ' Vibinti ' vidogo ambavyo hata Sisi Vijana wenu akina Generalist vinatutoa Jasho Vitandani ila huwa tunawaweza tu kwa Msaada wa Vumbi la Kongo?
Poleni sana wana CCM wote pamoja na Mwenyekiti Taifa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kumpoteza Kada huyu kutokana na Uhuni ( Umalaya ) wake huku akijua kabisa hana Pumzi za Kutosha za Kuwajibika Kibaiolojia Kitandani.
Wazee wazima mnaendekeza tu Uhuni!!
Mbona hakuna sehemu ambapo umri wa marehemu umetajwa?Huu uzee mnaompa ni kwa kigezo gani?Mzee alitaka kupata kathreesome amasing
Chanzo cha kifo cha marehemu ni katika jitihada za kusasambua mbususu akapigwa na mgonjwa la moyo akakata moto.Ukisikie mazishi ya aibu ni haya watatamani wamsifie enzi za uhai wake alikua mwema na bla bla ila kilichomuua ni full aibu!
Mbona hakuna sehemu ambapo umri wa marehemu umetajwa?Huu uzee mnaompa ni kwa kigezo gani?
Diwani ameshaungana na Mwendazake kwa sasa, acha kupotezea watu muda.Oya huu Uzi ni wa kuhusu Diwani na Upumbavu wake wa Umalaya na Kufia Kiunoni na siyo hizi Pumba zenu zingine sawa? Sijaanzisha ( sijauleta ) ili muanze kutumiana Salamu na Kukumbushana kama vile mpo Hewani Kipindi cha Salamu Radio One Stereo.
Kama mnajuana au mnatoka Kijiji Kimoja au ni Wakulima nendeni huko PM mkapeane miadi mkutane wapi ili muyajenge na mjikumbushie Maisha yenu ya huko Vijijini mlikokuzoea sawa? Tafadhali mfikishie upesi huu Ujumbe na huyo Mbwiga ( Mshamba ) Mwenzako.
Poleni sana wana CCM wote pamoja na Mwenyekiti Taifa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kumpoteza Kada
Diwani kwa kujifanya mjuaji asingeomba ushauri.Asilimia kubwa msichana hana kosa ,alipoona viagra imemzidi mzee alisepa , viagra sio mchezo , inabidi upate ushauri kabla ya kutumia .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Noma sana!Ananichefua balaa...ananipangia akiwa nani yy
NincompoopDunce.
Hiyo nayo Ni kero ya mwananchiiii,usikute alimlalamikia diwani hafikishBadala atatue kero za wananchi yeye anaenda kuwatomba
Sawa; bentenMke akikuona hali inabadilika hatokukimbia. Atatafuta namna ya kukusaidia