Elia F Michael
Member
- Mar 3, 2018
- 75
- 799
Nimeongea na Diwani wa Katanga bwana Oscar Kazihise,amenijulisha kuwa amevunjiwa milango ya nyumba usiku,akakamatwa,akapelekwa kwa ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kakonko,akamtishia kwamba anampa kesi ya kuchoma ofisi za kijiji chake baadae akapelekwa ofisi ya CCM akasainishwa barua ya kuacha udiwani. Baada ya kumaliza kusaini akaambiwa hana kesi tena.
Nimeamini kuwa kuoa sio kigezo cha uanaume,unaweza kuendelea kuwa mvulana tu.
Wavulana wawili Buyungu wameamua kwenda CCM.
Tunawasumbua wananchi wetu sana.
Nimeamini kuwa kuoa sio kigezo cha uanaume,unaweza kuendelea kuwa mvulana tu.
Wavulana wawili Buyungu wameamua kwenda CCM.
Tunawasumbua wananchi wetu sana.