KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Heshima Mbele kwa wanabodi, katika kile kinachoenekana ni siasa za maji taka na kukwamisha ahadi za Mbunge mteule wa Arumeru Mashariki ya kuchimba visima katika kata ya maroroni diwani wa kata hiyo kwa tiketi ya CCM Bw. Kaaya aligoma kusaini mkataba wa uchimbaji wa visima hivyo hali iliyopelekea katibu wa CDM Wilaya ya Arumeru kusaini kwa niaba ya diwani.Huyu diwani amekuwa akituhumiwa kukwamisha miradi mbali mbali ambayo huletwa na wahisa na wakati mwingine hata kutumia vijana kuhujumu hiyo miradi.
Mytake:Hivi madiwani kama hawa ambao wanakwamisha shughuli za maendeleo wapo kwa ajili ya nani?
Nassari kama anatembelea Jf jihadhari na hawa madiwani wa CCM Wamedhamiria kukwamisha utekelezaji wa ahadi zako wakihamini kuwa wewe una kiungo na wapiga kura wako.
Nawasilisha
Mytake:Hivi madiwani kama hawa ambao wanakwamisha shughuli za maendeleo wapo kwa ajili ya nani?
Nassari kama anatembelea Jf jihadhari na hawa madiwani wa CCM Wamedhamiria kukwamisha utekelezaji wa ahadi zako wakihamini kuwa wewe una kiungo na wapiga kura wako.
Nawasilisha