Phd Hewa
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 572
- 466
Diwani wa CUF anaetambulika kwa jina maarufu Selenge amejivua udiwani diwani huyo alikua hapo hapo Ruangwa mjini kata ya Nachingwea miongoni mwa kata mbili za huko mjini Ruangwa.
Ruangwa mjini kuna kata mbili na zote zilichukuliwa na CUF kata moja ipo wazi na sasa CUF amebakiwa na kata moja mjini hapo.
Kuna tetesi za madiwani wawili wa CHADEMA na CUF kata ya matambarare na namichiga wilayani Ruangwa inasemekana nae wapo mbioni kujiuzulu.
Ifahamike ya kua Jimbo hilo ndiyo alilotokea waziri mkuu wa awamu ya tano.
Pamoja na kujiuzulu kwa diwani huyo almaarufu kwa jina la Selenge haijafahamika atatimkia wapi japo kuna tetesi za kutimkia CCM.
Ruangwa mjini kuna kata mbili na zote zilichukuliwa na CUF kata moja ipo wazi na sasa CUF amebakiwa na kata moja mjini hapo.
Kuna tetesi za madiwani wawili wa CHADEMA na CUF kata ya matambarare na namichiga wilayani Ruangwa inasemekana nae wapo mbioni kujiuzulu.
Ifahamike ya kua Jimbo hilo ndiyo alilotokea waziri mkuu wa awamu ya tano.
Pamoja na kujiuzulu kwa diwani huyo almaarufu kwa jina la Selenge haijafahamika atatimkia wapi japo kuna tetesi za kutimkia CCM.