Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Dude!.........Kwa hiyo Msando aligombea Udiwani kupitia CDM ili apate ulaji mbali na fani yake ya Uwakili!...........halafu ukiwa Diwani wa CDM hivyo wewe unawakilisha CDM tu..............hizo societies za huko Marekani (especially Tea Parties za GoP) zimekuathiri mazee...........
Mangi, hebu nambie nani kwenye Congress ya Marekani ambaye ni ana practice law wakati huo huo akiwa congressman au congresswoman?