Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,361
Washamba hudhani inchi inaendeshwa kama utawala wa kimila wa kurithianaUchaguzi si takwa la mtu au kikundi cha watu......ni lazima uwepo.
Washamba hudhani inchi inaendeshwa kama utawala wa kimila wa kurithianaUchaguzi si takwa la mtu au kikundi cha watu......ni lazima uwepo.
Atakuwa "shogaa"Diwani wa ccm Martin Munisi kutoka Kata ya Machame Wilayani Hai ,Mkoa wa Kilimanjaro amejipanga kukimbilia Mahakamani kufungua shauri Mahakama Kuu kanda ya Kilimanjaro kutaka ahirisho la uchaguzi mkuu ujao sababu ya presha ya Corona.
======
View attachment 1394783
Diwani wa Machame Martin Munisi amekusudia kuwasilisha kesi Mahakama kuu ya Tanzania Moshi kuitaka serikali kusitisha maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka huu na kuzuia mikusanyiko ya kampeni pesa hizo zielekezwe Wizara ya Afya ilikuendeleza kampeni ya kujikinga na COVID-19
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli inakera ccm inajinadi kuwa yenyewe ndio Srkl halafu hao hao ndio wanaoona ipo haja ya kukataa ya srkl... yaani ccm kuipinga ccm mahakamani .... yaani hofu ya mafua ya COVID-19 serikali ndio imetaharuki... wananchi hawana shida na uchaguzi....kwanza tumeona namna ulivyoendeshwa mwaka 2019.... eti tatizo ilikua kujaza fomu eti Watanzania waliokuwa wagombea wa upinzani hawakujua kuzijaza ilhali ni wajibu wa wasiamamizi kuhakikisha fomu zinajazwa kirahisi na kwa usahihi kushindwa kujazwa fomu za uchaguzi ni kushindwa kwa shughuli nzima ya uchaguzi yaani Tume ya Uchaguzi ... manake haiwezekani 95% ya wagombea wa upinzani wameshindwa kujaza halafu bado uchaguzi ukaendelea huu ndio ulikua ushahidi wa tume kuwa ni kitengo cha ccm.Diwani wa ccm Martin Munisi kutoka Kata ya Machame Wilayani Hai ,Mkoa wa Kilimanjaro amejipanga kukimbilia Mahakamani kufungua shauri Mahakama Kuu kanda ya Kilimanjaro kutaka ahirisho la uchaguzi mkuu ujao sababu ya presha ya Corona.
======
View attachment 1394783
Diwani wa Machame Martin Munisi amekusudia kuwasilisha kesi Mahakama kuu ya Tanzania Moshi kuitaka serikali kusitisha maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka huu na kuzuia mikusanyiko ya kampeni pesa hizo zielekezwe Wizara ya Afya ilikuendeleza kampeni ya kujikinga na COVID-19
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa!Michadema inatamani Tusifanye Uchaguzi ili ruzuku isikate
Wajiandae kisaikolojia
Sent using Jamii Forums mobile app