Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Aliyekua diwani wa kata ya Susuni wilayani Tarime, bwana Nicholous Matiko, amevamiwa na kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi usiku wa leo.
Habari hizi zinakuja ikiwa ni siku chache tu tangu mtu mmoja wilayani humo katika eneo la Sirari auawe na kuchunwa ngozi na watu amabo hawajafahaika.
Je, kanda maalum ya jeshi la polisi wilayani humo,ina ulalo wa kazi yao wilayani humo?
Mbona wizi wa mifugo unaendelea tu?
Mbona masurgeon wa asili wanaendelea kufanya upasuaji wao kama kawaida?
Habari hizi zinakuja ikiwa ni siku chache tu tangu mtu mmoja wilayani humo katika eneo la Sirari auawe na kuchunwa ngozi na watu amabo hawajafahaika.
Je, kanda maalum ya jeshi la polisi wilayani humo,ina ulalo wa kazi yao wilayani humo?
Mbona wizi wa mifugo unaendelea tu?
Mbona masurgeon wa asili wanaendelea kufanya upasuaji wao kama kawaida?