idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Katika hali isiyotarajiwa Diwani wa kata ya Mkingamo ccm jiranina mji mdogo wa tunduma leo ameuliwa mtoto mmoja na binti wa kazi katika mazingira ya kutatanisha.
mashuhuda wa tukio wanasema chanjo ni migogoro ya viwanja, Inasemekana mh. Alikua na tabia ya kuuza kiwanja kwa zaidi ya mtu mmoja hivyo kusababisha migogoro isiyo kwisha.
Cha ajabu inasemekana aliesababisha mauaji ni mwanamke...
taarifa zaidi zitakujieni...................!!!!!
mashuhuda wa tukio wanasema chanjo ni migogoro ya viwanja, Inasemekana mh. Alikua na tabia ya kuuza kiwanja kwa zaidi ya mtu mmoja hivyo kusababisha migogoro isiyo kwisha.
Cha ajabu inasemekana aliesababisha mauaji ni mwanamke...
taarifa zaidi zitakujieni...................!!!!!