King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,511
Sasa hivi ni Kuunga mkono Jitihada na sio JUHUDI?Ndugu Lothi ole Mungaya diwani kata ya ilkiding’a Halmashauri ya Arusha Dc Wilaya ya Arumeru ambae amejiunga ccm kwa kuunga mkono jitihada za Mhe, Rais, Dkt. John Pombe Magufuli