ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Baada ya jambajamba ya Mdada wa Taifa, mchezo wa hamahama umerudi tena.
Hahahaha
Baada ya jambajamba ya Mdada wa Taifa, mchezo wa hamahama umerudi tena.
Bado kuna wajinga wanaendelea na ujinga huu?!Napokea taarifa nyingine kuwa, Diwani wa CHADEMA kata ya Monduli juu, Ndugu Bariki Sumuni amejiuzulu nafasi yake ya udiwani na nyadhifa zake zote ndani ya chama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi. Huyu anakuwa diwani wa 82 kujiuzulu kwa mujibu wa takwimu zangu zisizo rasmi. Huo ndiyo uchungu wa demokrasia ya kweli ikikugeuka kwa wale wasioifahamu.
Magoiga SN
Tulia basi kwanza!
!
Tumeanza Upya..... Nilijua Tu Baada Ya Ile Ngege Kutua Kwa Dharura Kuna Watu Watasifu Jitihada
Kumbe Tril 1.5 bado haijaisha
!
!
Tumeanza Upya..... Nilijua Tu Baada Ya Ile Ngege Kutua Kwa Dharura Kuna Watu Watasifu Jitihada
Tulia basi kwanza
Yaan ukiona post tu unakurupuka kuandika kwa jazba
Haya sasa 'ngege' ndo ktu yan mkuu
Mboko nzuri ni kuto wachagua wakiomba kura. Wakipata kura za ushindi itadhihirisha kuwa sababu zao kuhama zilikuwa na mashiko.Madiwani wa ainahii dawa yao ni kuchapwa mboko na wapiga kura wao.
!
!
Tumeanza Upya..... Nilijua Tu Baada Ya Ile Ngege Kutua Kwa Dharura Kuna Watu Watasifu Jitihada
Hahahaaa! Nyani haoni kundule!Equation balanced
Hahahaaa! Nyani haoni kundule!Equation balanced
Ukitaka kutaja aibu ya mwenzio kumbuka aibu yako kwanzaH
Hahahaaa! Nyani haoni kundule!