Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Wakati tukiwa kwenye mtanange mkubwa wa uchaguz mdogo wa udiwani kata ya kikuyu kusini manispaa ya Dodoma kutokana na aliekua diwani kufariki mapema mwaka huu, diwani mwingine wa kata ya Chang'ombe kwa tiketi ya CCM amefariki siku 4 zilizopita. R. I. P diwani