Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,557
- 217,844
Msipotoshe , Diwani huyu msaliti hakufukuzwa na Lema , Ametimuliwa na Chadema
Msipotoshe , Diwani huyu msaliti hakufukuzwa na Lema , Ametimuliwa na Chadema
Hapana. Ni pamoja na kuvumilia kukosolewa kama ambavyo wewe unavyowakosoa wengine.
Kweli kabisa. Tulitegemea walau wao wawe tofauti, ila ni yaleyale tu.Kwa hapa naona hamna uhuru wa kutoa maoni kwa Wanachadema.
Halitofautiani swala hili na jinsi serikali inavyo wafanyia upinzani TZ
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo tatizo ni ukweli au ni taratibu za uwasilishaji wa huo ukweli? Acha upotoshaji dogo.
This is very detrimental.Hawakubali kukosolewa hao - wanajiona wao ni "MIUNGU WATU"
This is not democracy.Watch out!
...Unakosoa mpaka Joyce?
Not to that extent.
Tatizo kausema hadharanj pia, alipaswa kuusema kwenye vikaoNimemsikia, alichosema ni ukweli mtupu na ukweli mchungu ambao kila uchao ninaendelea kuuzungumza hadi October 2020
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
P
Huko sio kukosoa ni kutukana. Hata angekuwa CCM akasema kuwa M/Kiti wa CCM Mkoa hajitambui lazima angepigwa chini tu.Kama ambavyo wao wanakosoa, wao pia walipaswa wawe tayari kukosolewa.
Unataka wayasemee wapi wakati mikutano ya hadhara ndo hivyo tena na ile ya ndani inahitaji hisani ya OCD?Upinzani unatakiwa uwe wa kupigania maendeleo ya wananchi na haki zao sio huu upinzani wa kipuuzi wa kugombania madaraka tuu.
Sijaona kauli za kulaani na kudai serikali itokomeze uhalifu kama vile kuongezeka kwa uvunjaji na vibaka kwenye miji kama Arusha na Dar es salaam.
Wapinzani wanazungumzia masuala yao tu ya kisiasa na sio masuala yanayogusa watu wa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona upinzani kila siku wanawatukana chama tawala?Huko sio kukosoa ni kutukana. Hata angekuwa CCM akasema kuwa M/Kiti wa CCM Mkoa hajitambui lazima angepigwa chini tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Kama madiwani hao wote na wabunge wananunuliwa basi chadema hampaswi kupewa nchi mtatuuza maana hata mzee wa nywele nyeupe naye aliwanunuaUKWELI GANI WAKATI AMESHAFIKA BEI! MA CCM ACHENI UZUZU!
Watu wengi wanaopenda kukosoa sana huwa hawapendi kukosolewa!
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Kuhama ni tofauti na kufukuzwa. Katika hai nani amefukuzwa?
Amandla......
Angekua wa ccm mngepiga vigeregere mpaka.mngejinyea,nilishasema wewe ni chadomo kindakindaki,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazina umuhimu maana kila mmoja alikuwa na sababu zake. Cha msingi ni kuwa waliondoka kwa hiari yao na hawakufukuzwa. Na huko walikohamia wanaendelea vizuri tu na shughuli zao.Sababu za kuhama?