Diwani CCM: Nyumba za Ibada Kinondoni zisitishe Maombi haraka

DIWANI CCM KATA YA HANANASIFU ABBAS TARIMBA AMESEMA NYUMBA IBADA ZOTE ZILIZO KWENYE MAKAZI YA WATU ZISITISHE MAOMBI HARAKA KABLA YA KUCHUKULIWA HATUA.SOURCE majira leo.Wasi wasi wangu ni kwamba huwezi kujenga Kanisa au Misiki mbali na Makazi ya Watu.Ibada ambayo inaweza kuwa mbali na Makazi ya Watu ni ibada za mizimu na Mashetani ambapo eneo maalumu linatengwa kama alivyofanya Babu wa Loliondo alitaka kujengewa eneo la Mtalija linaloheshimika kwa wafu waliokufa siku nyingi na wazee wa Mila walitenga kama sehemu ya Matambiko.Suala la kelele za Dansi ya Mch Rwakatare inawakera wakazi wa Mikocheni hivyo Mama Rwakatare akiondoa midundo ya dansi watu watapata nafuu

ashindwe katika jina la yesu huyo tarimba loh
 
Tanzania kuna vioja sana sijawahi ona/sikia nchi yenye vituko kama hii,aaaaah NCHI YA COMEDY.
 
Angeshauri wapunguze sauti za vipaza sauti ili zisiwe kero kwa wasiohusika na hizo dini.

Point mkuu japo sisi hapa mtaani kwetu tulishaga wafuata kuhusu kelele wanapokuwa wanakesha huku ndani mwetu tunawatoto wadogo sometime wagonjwa wakatujibu kuwa wakinyamaza wao basi mawe yatapiga kelele!
 
Makanisa yanasumbua si utani. Asisahau baa zilizopo ktk makazi ya watu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom