kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Huyu jamaa ni mwizi kweli na wakati wa kura za maoni wakina mzee kiwia walimkaa hadharani kwakuwa hiki chama hakisikii wakalazimisha na kumpa nguvu jamaa akamvunjia mzee bar yake pale msikitini ferry. Sasa wainuke tena kumtetea utafikiri kigamboni hapakuwa na watu wengine