eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
vituo vilitawaliwa na zoezi la madiwani hao kuapishwa baada ya baadhi ya madiwani kushindwa kuapa na mwingine kujaza fomu yake kwa kutazamia kwa diwani mwenzake hadi jina.
source: Diwani afariki baada ya kuapishwa
Ni aibu kubwa kama diwani hajui kusoma sasa itakuwa ni mzigo mkubwa kumkomboa mwananchi kwa kuwa KIPOFU hamwonyeshi njia KIPOFU mwenzake...Diwani afariki baada ya kuapishwa
source: Diwani afariki baada ya kuapishwa
Ni aibu kubwa kama diwani hajui kusoma sasa itakuwa ni mzigo mkubwa kumkomboa mwananchi kwa kuwa KIPOFU hamwonyeshi njia KIPOFU mwenzake...Diwani afariki baada ya kuapishwa