The Bourne
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,077
- 1,319
UKUKU , ******** akiwatumbua tusione ukahaba wenu hapa wa kumpongezaAkikutana nao awapige vibao kabisa maana wanatumia pesa za matibabu zilizochangiwa na wanaompenda Mh. Lissu kutengeneza video za kudanganha watu huku wao hata hawajui kuwa teknolojia ipo juu na macho yanaona uongo waziiiii...
Upinzania unakufa kwa haraka.. wamebaki na wanaoisoma namba ndio wanawashangilia wanapata bichwa kumbe pwaaaaaaa hakuna kitu.. awamu ya tano ipo bombaaaaaaaaaa