Divorced people: Ilikuaje ?, Umejifunza nini na whats your future take moving forward on Marriage/ Relationships

Stiffler88

Senior Member
Apr 23, 2017
158
490
Kwa miaka ya karibuni Talaka zimekua nyingi sana ? Umri wangu Nipo in early 30's na nmekua kwenye relationships kadhaa ambazo hazikuweza ku mature kuja kwenda ndoa lakini pia nmeona watu wangu wa karibu waliooa wapo ambao ndoa zipo vizuri, wapo ambao wanastruggle na wapo ambao washaachana. So as much natamani kuoa lakin pia kuna hali ya ka uoga flan ka "what If shit went wrong" itakuaje? Maana tatizo nalionaga ni watu walioko Happy kwenye ndoa hawasemi ila waliokua na majanga ndo wako vocal sana. Na wale walioko Happy wakiongea how happy they are kwenye ndoa zao wanaonekana wanajishaua tu.

Dada yangu pia ni wakili siku izi anapata sana kesi za Talaka, so ananisumuliaga tu visa tofauti tofauti japokua hana detailz zaidi ya why ndoa imevunjika ila ana details za inakiwa uvunjikaje na kwa miaka ya karibuni apa ndoa za watu wazima 45+ years na za kina sisi early 30's anapokea kesi nyingi tu. Sasa nataka kujua, Kwa mtu aliyeoa/kuolewa af akaacha/akaachwa/akaachika umejifunza nin kwenye hio experience na pia whats your take moving foward kuhusu mahusiano na ndoa ni kitu kipi ungependa watu wajifunze kama ungepata nafasi ya kuwaambia.
 
Ndoa ni commitment?watu wanaoa na kuolewa kwa mihemko,status,tittle,influence,age factor..but hawako ready kwa kuhandle changamoto..
Wanaume na wanawake wanakua wanafake maisha kabla ya ndoa so wanashindwa kumaintai fake life,watapoanza real life wanashindwa kuvumiliana..

Overexpectation..wanawake wanakua wanatarajia mambo makubwa saaanaaa kwenye maisha ya ndoa but things become viceversa hapo ndio nyumba haikaliki

E.t.c
 
Kama upo divorced au umefiwa na mke njoo kwangu tuanze upya.huu ukurasa wa wahenga huu utanifaa na marafiki zangu
 
Ndoa ni commitment?watu wanaoa na kuolewa kwa mihemko,status,tittle,influence,age factor..but hawako ready kwa kuhandle changamoto..
Wanaume na wanawake wanakua wanafake maisha kabla ya ndoa so wanashindwa kumaintai fake life,watapoanza real life wanashindwa kuvumiliana..

Overexpectation..wanawake wanakua wanatarajia mambo makubwa saaanaaa kwenye maisha ya ndoa but things become viceversa hapo ndio nyumba haikaliki

E.t.c
upo kwenye ndoa mkuu au n uzoefu wako kwa unavoona hali ingawa hujaipitia ??
 
Kuishi ni kujifunza, yanayowatokea wenzangu yanaweza kunitokea mimi. Hakuna anaetaka baya limfike ila kibinadamu mambo hutokea. so ni kutaja kujua tu na kujifunza kwa wengine. Ilo tu
Pray Take the risk..do your due diligence...make your decision..

If it turns out Good Alhmamdulilah...if it turns out bad Alhamdulilah..

There are gaurantee in life
 
Back
Top Bottom