Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Kwa utafiti uliofanywa GPA kubwa zilizo nyingi chuoni ni za vijana waliotoka shule za kata Hongereni vijana wangu.
Jipe moyo!Kwa utafiti uliofanywa GPA kubwa zilizo nyingi chuoni ni za vijana waliotoka shule za kata Hongereni vijana wangu.
You're point is lying at the same dimension rural economy is lower than urban one. Watoto hao wa kijijini wamesoma shule za kata mkuuSio kweli, ila nachojua vyuo nilivyopitia vijana waliokulia vijijini walikua wanafanya vizuri darasani kuliko vijana wa mijini.
Yah we umenielewa angalao watoto wengi wa vijijijini wamesoma izo izo shule za kataYou're point is lying at the same dimension rural economy is lower than urban one. Watoto hao wa kijijini wamesoma shule za kata mkuu
Unaota ww...endelea kujpa mahop ivo ivo...Kwa utafiti uliofanywa GPA kubwa zilizo nyingi chuoni ni za vijana waliotoka shule za kata Hongereni vijana wangu.
Juhudi wakati mlizoea kumezeshwaJuhudi zako ndio ufaulu wako
Tumia juhudi zozote tu hata kama ni kumeza ilimradi tu uweze kufaulu. Kuelewa utaelewa hukohuko kaziniJuhudi wakati mlizoea kumezeshwa
Rejea uzi mkuu naona unatoka nje ya madaTumia juhudi zozote tu hata kama ni kumeza ilimradi tu uweze kufaulu. Kuelewa utaelewa hukohuko kazini
Nilikuwa ndani ya mada mkuu.Rejea uzi mkuu naona unatoka nje ya mada
Watakupinga ila kuna ukweli kiasi flaniKwa utafiti uliofanywa GPA kubwa zilizo nyingi chuoni ni za vijana waliotoka shule za kata Hongereni vijana wangu.
Kwel mkuuGPA haimaniishi mtu yupo vizuri kiakili... Mimi nilikuwa nafundisha wanachuo wenzangu kila Somo... Walikuwa wanajaa room kwangu ila matokeo yakitoka nina B au B plus ila wengi wao hugonga A...
Tatizo ni kuwa nilikuwa na mambo mengi sio kusoma tu na kukariri nifaulu...
Nashukuru kwa kunielewa mkuu japo umu jukwaani wengi ndugu zao Wanaondoka na GPA chafu ili ali wametoka na division 0ne secondaryWatakupinga ila kuna ukweli kiasi flani
Mtoto wa shule ya kata akifika chuo na asiwe bishoo au sister duu na akawekeza nguvu zake kusoma kama alivyokomaa hadi akachomoka shule ya kata basi hua chuo anapasua mbayaaaa
Sijafanya utafiti rasmi but nimeona kwa friends zangu wengi sana
Mkuu rejea uzi nimesema wengi waosidhani kam,ni kweli inakuwa ivo mara zote au kwa wanafunz wote.
3. 5to 4Kwani G.P.A nzuri inaanzia ngapi?