Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemaliza 4m 6 2012, nanimepata III-15 Hivi naweza omba chuo nikapata nakiomba faculty zp? Niombe ?
hapana sio kwamba na kushauri usiombe UDOM la kwa kuwa UDOM wana kozi nyingi na wana enroll namba kubwa jitahidi kuwa makini kwenye kuchagua kozi inayolingana na point zako kwa kwa wewe mwenye div 3 ya 15 una point 3 kwa utaratibu wa chuo kwa hiyo angalia minimum entry ya kozi unazotaka kuomba na cut-off na idadi ya wanafunzi halafu kama unaona mambo ya kujisomesha ni taabu tazama priority kozi ambazo wanapata loan vyuo ni vingi vipo karibia 60 so umakini na utulivu tu utatapa kozi tuSo kama ndo hvyo ngoja nikitafute hcho kitabu je unanirhauri nisiombe UDOM kutokana na ulivyosema kwamba kinawatu wengi
So kama ndo hvyo ngoja nikitafute hcho kitabu je unanirhauri nisiombe UDOM kutokana na ulivyosema kwamba kinawatu wengi
hiyo pre entry ina maana gan ? tuelmishane kdgomba pre entry utapata chuo tu ila mzazi ajiandae na kutoa hela yakukusomesha..
Wasiliana nasi Fulgent careers kwa ushauri wa uhakika na muongozo wa kozi unazoweza kuomba na vyuo vinavyotoa hizo kozi pamoja na hali ya soko la ajira kwa kozi utakayochagua.0769524022.Nimemaliza 4m 6 2012, nanimepata III-15 Hivi naweza omba chuo nikapata nakiomba faculty zp? Niombe ?