sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Zanzibar Walishapewa incentives nzuri kwenye muungano na katiba ya Tanzania. Akili za necta wamewaachia wapenda ma vyeti wa bara. Leo hii bara kuna watu kibao waliopata Division 1 ila hawana ajira.
Kwa upande wa Zanzibar mambo ni bam bam!! Wao wapo wachache sana lakini ajira asilimia 21 za Tanzania ni zao na huko kwao Zanzibar ajira ni zao peke yao, hawana stress za mavyeti.
Kwenye ajira mtu wa bara aliepata division 1 kali anaweza kuwekwa pembeni hio nafasi akapewa mzanzibar aliepata division 4 ili kuwe na usawa katika muungano.
Halafu utasikia punguwani anaropoka 'Zanzibar ni kama wilaya"
Kwa upande wa Zanzibar mambo ni bam bam!! Wao wapo wachache sana lakini ajira asilimia 21 za Tanzania ni zao na huko kwao Zanzibar ajira ni zao peke yao, hawana stress za mavyeti.
Kwenye ajira mtu wa bara aliepata division 1 kali anaweza kuwekwa pembeni hio nafasi akapewa mzanzibar aliepata division 4 ili kuwe na usawa katika muungano.
Halafu utasikia punguwani anaropoka 'Zanzibar ni kama wilaya"